Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
😂 mazoezi unafanya lakini🤣🤣🤣 Yeah,nachochea Moto😉
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 mazoezi unafanya lakini🤣🤣🤣 Yeah,nachochea Moto😉
🤣🤣Nimekuwa mvivu kukimbia sikuhizi☹️😂 mazoezi unafanya lakini
ruka walau kamba hapohapo nyumbani hii miili bila mazoezi hashki zaweza kuwa juu sana,hasa ukichagiza na hivi vyakula vya mafutamafuta🤣🤣Nimekuwa mvivu kukimbia sikuhizi☹️
Mbali na uzee una mtu wa kukupunguzia hashki...🤣🤣 Kamba ninayo ngoja nianze asubuhiruka walau kamba hapohapo nyumbani hii miili bila mazoezi hashki zaweza kuwa juu sana,hasa ukichagiza na hivi vyakula vya mafutamafuta
uzuri mi ni mzee naelewa mana nilikua kijana pia.
Halafu unaacha taco nje sio?Yani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
si wazee tunaweka hata mkono tuh hapo basiMbali na uzee una mtu wa kukupunguzia hashki...🤣🤣 Kamba ninayo ngoja nianze asubuhi
Kwa hiyo ukasubiri wanafamilia watoke out lakini mwisho wa siku holaaa!🤣🤣Ndio hvyo madam
Ilibidi nimuulizee mdada mmoja wapo wa kazi ndio akaniambia n nguo za kulaliaa 😅 .nilishangaa tu Kwa kweliiKwa hiyo ukasubiri wanafamilia watoke out lakini mwisho wa siku holaaa!🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Mna hatari Sana aisee🤭si wazee tunaweka hata mkono tuh hapo basi
dah! 🤣🤣🤣🤣💚Pole sanaIlibidi nimuulizee mdada mmoja wapo wa kazi ndio akaniambia n nguo za kulaliaa 😅 .nilishangaa tu Kwa kwelii
samahani kidogo hivi ni wewe huwa unamiche ya matunda mbalimbalidah! 🤣🤣🤣🤣💚Pole sana
ni burudani kwa kweli🤣🤣🤣🤣 Mna hatari Sana aisee🤭
ndio mkuu,karibusamahani kidogo hivi ni wewe huwa unamiche ya matunda mbalimbali
Hatareeni burudani kwa kweli
sawa nilipata changamoto kidogo kwenye miche yangundio mkuu,karibu
pole Kwa changamoto mkuu na ni vizuri pia ukanitumia picha ya mche/miche uliyopata madhara ili iwe rahisi kukushauri.sawa nilipata changamoto kidogo kwenye miche yangu
ngoja nitafute ule uzi niweze kukuliza mtalamu unishauri mawili matatu
Mtoa bada sidhani, kama anamaanisha watu walale uchi, ila anashangaa kuwa na nguo maalumu za kulalia, kama zile zinazoitwa kwa kizungu night dress, maana yeye akiwa na pensi la jinzi, anaanguka nalo, akiwa na bukta sawa tu, mkewe akilala na kitenge twende, sket ilimradi pakuche, naona anamaanisha hivyo.Exposure mkuu huna! Nyie ndiyo mnaoota mnaliwa kiboga na mazombi, Mwanaume si sawa kulala uchi kabisa Kuna dharula au kuvamiwa. Ukiwa umevaa walau Nguo fulani utaweza kujitetea.
Piana matumizi na hali ya hewa,njoo Mbeya kama utaweza kulala kibeberu kama unavyodhani😂