Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Wewe lazima tuvujishe picha zako humu πππππWaone nini mkuu, kikalio kilichokomaa kigumu cheusiiii au mtalimbo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe lazima tuvujishe picha zako humu πππππWaone nini mkuu, kikalio kilichokomaa kigumu cheusiiii au mtalimbo
Sheria za jf haziruhusu utapigwa ban na hasara ya bando lako maana hazitatrendWewe lazima tuvujishe picha zako humu πππππ
ππππ Unajiteteaga hapo tuu et " hazito trend """ wee subri tuuuSheria za jf haziruhusu utapigwa ban na hasara ya bando lako maana hazitatrend
naam vipi haliBaba!
KweliWewe umezidi usiriazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28] mm niliona Kwenye familia Moja cku Moja imefika jioni naonaa watt na wadda wakazi na mama wamevaa sare zimefanana nikajua Wana Toka out kumbe ndio nguo zakulaliaa [emoji17]
Tafuta ela boss hata ndani tunaingia na viatu siyo unavua njeYani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
ππππMbona Wachangiaji wanaandika vitu visivyoeleweka.
Wewe mleta uzi haulali bali unajipumzisha ushaona wapi mtu analala kwenye Stoo
Inategemea una ishi wapi, kama kwa mtpgole na the likes basi hakuna haja ya kuwa na nguo za kulaliaYani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
Si ndioInategemea una ishi wapi, kama kwa mtpgole na the likes basi hakuna haja ya kuwa na nguo za kulalia
Poa,habari yako?naam vipi hali
Dahπ€ππΏββ kila tukio lina mavazi yake rasmi ujueYani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?
Alhamdulillah uzima upo hali ya hewa shwari kabisa vipi ukoPoa,habari yako?
Swalama aisee,nipo hapa natafuna Karanga na maziwa....karibuAlhamdulillah uzima upo hali ya hewa shwari kabisa vipi uko
mbichi?Swalama aisee,nipo hapa natafuna Karanga na maziwa....karibu
Kumbe!! Kichele tu yani! Ya nini kughasiwa na minguo hadi kwenye usingizi!!mmmh unalala hivo hivo mtupu?
π€£π€£π€£ Yeah,nachochea Motoπmbichi?
Napenda nguo zako za kulalia...