Inashangaza mtu anakuwa na nguo hadi za kulalia

Inashangaza mtu anakuwa na nguo hadi za kulalia

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… mm niliona Kwenye familia Moja cku Moja imefika jioni naonaa watt na wadda wakazi na mama wamevaa sare zimefanana nikajua Wana Toka out kumbe ndio nguo zakulaliaa πŸ˜”
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Usiku mwema πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ™ŒπŸΎ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ushapata chimbo lingine nije..
Ni tag ni tag πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
nguo ya kulalia hainunuliwi karume mkuu yaani kashalalia bibi wa kizungu kazijambia unazivaa na ww dah noma...... jezi za yanga hawezi nunua huyo mleta mada na sio yanga tu hata jezi ya lipuli hana uwezo nayo
Ulijuaje kwamba kweli siwezi, duuh wewe utakuwa una damu ya shekh yahaya
 
Acha mwili nao usiku upate nafasi ya kupumua.
Muda wote ngozi unaizonga zonga tu, mpaka wakati wa minjunjano bado pia kuna mimtu inavaa nguo(haivui zote), ngozi haipumui.
Wewe kuna siku watatuma picha yako humu ujue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom