Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wapo wengine na nguo za kuendea msalani mkuuYani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.
Nguo zakulalia tena?