Inashangaza sana kuona mwanaume eti anaogopa kuoa

Inashangaza sana kuona mwanaume eti anaogopa kuoa

Screenshot_20230129-061840_DuckDuckGo.jpg
 
Hivi hawa wanaume wanaohamasishana eti kataa ndoa ni wanaume kweli?

Hivi mwanaume rijali kabisa anaweza kuogopa kuowa?

Ukiwasikiliza sababu zao eti wanaogopa kuchapiwa.

Poleni sana dada zangu mna changamoto kubwa sana kwa aina ya wanaume wa sasa.
Kuowa au kuoa...andika vizuri kwanza
 
Hivi hawa wanaume wanaohamasishana eti kataa ndoa ni wanaume kweli?

Hivi mwanaume rijali kabisa anaweza kuogopa kuowa?

Ukiwasikiliza sababu zao eti wanaogopa kuchapiwa.

Poleni sana dada zangu mna changamoto kubwa sana kwa aina ya wanaume wa sasa.
Waambie kuwa, Elli anasema "usipooa UTAOLEWA! Na Mimi nasema waolewe tu, maana hakuna namna sasa"
 
Back
Top Bottom