Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendazake alijua kucheza na akili za wapumbavuHivi tunakwenda wapi jamani?
Kwa nini msikomae na hawa wawekezaji wakubwa ili tupate matrlioni kuliko kukomaa na vijisenti vyetu?
View attachment 2370251
Kwani Magufuli mwenyewe kabla hajafa alisemaje kuhusu Tsh 360 za BARRICK/ ACACIA?Hivi tunakwenda wapi jamani?
Kwa nini msikomae na hawa wawekezaji wakubwa ili tupate matrlioni kuliko kukomaa na vijisenti vyetu?
View attachment 2370251
Mkuu hizi hasira ulizo nazo ni sababu ya tozo tu auKamuulize baba yako
Akili tunazo na ndio maana tunaishi. Ila kosa kubwa ni kuwapa wapumbavu madaraka ya kutuamulia maisha kama taifa.Africa hatutaendelea mpaka pale tutapokuwa na akili
Hizo story za trilioni 360!,ilikuwa ni swaga ya mwendazake tu,ni yeye aliyeamini huu upuuzi,wenzie hawakuamini,walijua ni kitu kisichowezekana,ila walimshangilia Ili kulinda vibarua vyao.Hivi tunakwenda wapi jamani?
Kwa nini msikomae na hawa wawekezaji wakubwa ili tupate matrlioni kuliko kukomaa na vijisenti vyetu?
View attachment 2370251
Mi nilidhani zilishatolewa ila zimetumika kwenye kugharamia mazishi ya shujaa uchwara.
SIO BURE KUNA MASLAHI BINAFSI WATU WAMELIPWA HATA KWA ASIYE NA AKILI Hawezi kuacha Matril ya Fedha kisha Akasheherekea na kupokea Bil.700Hivi tunakwenda wapi jamani?
Kwa nini msikomae na hawa wawekezaji wakubwa ili tupate matrlioni kuliko kukomaa na vijisenti vyetu?
View attachment 2370251
Kiongozi aliyesamehe Trillion 360 ...... akapokea 700 Billion!!Mh hii nchi kiongozi wake alifariki march 2021 tutajaribu tena 2025 ikiwa huruma ya Mungu itakua kati yetu