CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Picha inayosifiwa na washabiki wa utopwinyo huko mtandaoni kwamba klabu yao ina ma misoooosiiiiiii imeleta maswali mengi sana kwa kuwa Bumbuli na mwenyekiti wa klabu wametengwa kwenye kikao cha ki mkakati
Ama kwa hakika kua uyaone, ila msolwa asiwe na wasiwasi kina Davis Mosha watamlinda alifanya la maana kuwaleta mara ya pili pale utopoloni
Kwenye hii picha kuna kocha aliyebakiza masaa 24 kufukuzwa, kuna kocha atayedumu hadi december halafu kuna papa zahera atakayefukuzwa mwishoni mwa msimu ujao baada ya kumalizi ligi akiwa nafasi ya 4
GSM
Hersi
Kaze
Zahera
Nabi
Senzo
Manara
Ama kwa hakika kua uyaone, ila msolwa asiwe na wasiwasi kina Davis Mosha watamlinda alifanya la maana kuwaleta mara ya pili pale utopoloni
Kwenye hii picha kuna kocha aliyebakiza masaa 24 kufukuzwa, kuna kocha atayedumu hadi december halafu kuna papa zahera atakayefukuzwa mwishoni mwa msimu ujao baada ya kumalizi ligi akiwa nafasi ya 4
GSM
Hersi
Kaze
Zahera
Nabi
Senzo
Manara