eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Hao waarabu mila zao haswa zinapingana na uislam.
Unajua mila haswa za waarabu!?
Tuanze kuzijadili na tuzifanananishe na uislam kama zinafanana!?
huwezi kutenganisha uislam na uarabu.
Hata lugha inayowaunganisha waja na mungu wao ni kiarabu. Hata majina ambayo mungu wao anawaita ni ya kiarabu. Ukija mavazi ambayo mungu wao anayoyaona ni ya stara ni ya kiarabu. Hapo hujagusa usanifu majengo, vyakula nk. Sasa napata shida kutenganisha hivi vitu viwili.