masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Engineer wa TCRA aliyefariki majuzi msafara wa maziko umepata ajali.
Inasikitisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2062028View attachment 2062025View attachment 2062024
Engineer wa TCRA aliyefariki majuzi msafara wa maziko umepata ajali.
Inasikitisha sana.
Mungu fundi huyu alituzimia mtandao utafikiria yeye mungu...naskia maiti imetoka nje ya jeneza kweli malipo hapahapaView attachment 2062028View attachment 2062025View attachment 2062024
Engineer wa TCRA aliyefariki majuzi msafara wa maziko umepata ajali.
Inasikitisha sana.
Mh mkuu kwa uandishi huu ni kama unatetea hoja flani nyuma ya pazia.Kifo kina siri nzito sana.....
Watu wanakimbilia gym/ kufanya mazoezi kuepuka magonjwa nyemelezi....
Ila kifo... ikifika siku yako hata ujifiche wapi kinakufata....😔😔
May his Soul Rest In Peace.
Unatetea ubonge wakoKifo kina siri nzito sana.....
Watu wanakimbilia gym/ kufanya mazoezi kuepuka magonjwa nyemelezi....
Ila kifo... ikifika siku yako hata ujifiche wapi kinakufata....😔😔
May his Soul Rest In Peace.
Unaonekana una mengi ya kuongea mkuu karbShule ya Uongozi" isipofunguliwa, wengi watapoteza maisha. Mr Slow slow ni shida.
Imani tu za mtu mweusi. Akishashiba magimbi!Kuna mtu aliwah post humu akasema hakuna kitu kibaya kama kuitazama gari iliyobeba maiti afu ukajiona kwenye kioo cha ile gari
Roho ya mauti imeendelea kumfuatilia hata baada ya kifoView attachment 2062028View attachment 2062025View attachment 2062024
Engineer wa TCRA aliyefariki majuzi msafara wa maziko umepata ajali.
Inasikitisha sana.
Ukishajiona inakuwaje Mkuu? Naomba kujua hii.Kuna mtu aliwah post humu akasema hakuna kitu kibaya kama kuitazama gari iliyobeba maiti afu ukajiona kwenye kioo cha ile gari
Kioo kina reflect sasa kwa nini usijione? Mtu mweusi akishalewa ulanzi na mbege basi ndio anatunga theory zake za kikudaKuna mtu aliwah post humu akasema hakuna kitu kibaya kama kuitazama gari iliyobeba maiti afu ukajiona kwenye kioo cha ile gari