Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Mimi huwa natafuna kitimoto tu sijali maneno ya watuKifo kina siri nzito sana.....
Watu wanakimbilia gym/ kufanya mazoezi kuepuka magonjwa nyemelezi....
Ila kifo... ikifika siku yako hata ujifiche wapi kinakufata....😔😔
May his Soul Rest In Peace.