Inasikitisha sana genge la mitandaoni kujiita Watanzania wote 60 milioni kisha kumuendesha Mkuu wa Nchi watakavyo

Inasikitisha sana genge la mitandaoni kujiita Watanzania wote 60 milioni kisha kumuendesha Mkuu wa Nchi watakavyo

Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyonzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Mnajifanya wasafi,wazalendo
Kumbe geresha
Mnayofanya nyuma ya pazia mnajua
Wenyewe

Ova
 
[emoji23][emoji23] Mataga round Hii lazima Muite maji "Mma". Na ndiyo tunazidi kuwakera! Tulianza na
Jamaa uchwara (Kakurwa)- hamkuamini
Tukaja "Mavieite" (Chakubanga) - mkadhani mnaota. Sasa ni
Ole Sabaya- mmepigwa na butwaa. Na sasa hvi:
Mbeya& Iringa is loading,,,,,,, Lazima Tuheshimiane round Hii, one man show mkaindeleze huko kuzimu sio Tanzania [emoji1241]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hata akikesha, Mitandao ni sehemu tu ya chanzo cha habari ila Maamuzi yanafanywa baada ya uchunguzi, kama unasingiziwa hata wakipiga kelele vp haisaidii.
Inamaana toka Sabaya aanze kusemwa hana lolote analojua toka innercircle?
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyanzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Safari yenu imesha iva ya kutupwa segerea kwa madhambi mliyo tenda dhidi ya binadamu wenzenu.
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyanzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Na tunawajua woote kwenye kundi lenu
 
Serikali haifanyi maamuzi kwa kujali mitandao. Serikali ingefuata mitandao sabaya asingetolewa leo kupisha uchunguzi. Angekuwa ndani.
Kuna mtu ameangalia picha ya Avatar image yako kapandisha mashetani
Hahahaha hahahaha
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyanzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Nimeshindwa kukuelewa!
 
Wafuasi wa hayati, kubalieni kuwa huu ni msimu mpya, msimu mpya huja na mambo tofauti ya yale ya msimu uliopita. Jifunzeni kuishi tofauti na mlivyozoea

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Usiwalaum Hao watu wa Mitandaon mlaum kiongozi wako sababu wewe kama unaona ni upumbavu alafu yeye ndio anacho kumbatia basi hakufai subir ufanye maamuz kwenye uchaguz
 
Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users ilioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyanzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.

Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina .
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Pale hakuna raisi,yule sijui kwa nini Magu aliendelea naye awamu ya pili bora angemteua Mwinyi,huyu mama ni bogus kabisa na tembea yake kama anataka kudondoka
 
Back
Top Bottom