Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bogus alikuwa jiwe ,the guy was completely useless,a fool.yani mtu Kama sabaya kafanya ujinga wote ule lakini jiwe hakuchukua hatia yoyote inamaana he approved ule ushenzi.jiwe was a disgrace to our national ndio maana mungu aliamua kumchukua .huyu mtu wenu alikuwa takataka .overPale hakuna raisi,yule sijui kwa nini Magu aliendelea naye awamu ya pili bora angemteua Mwinyi,huyu mama ni bogus kabisa na tembea yake kama anataka kudondoka
Mama siyo mgeni ndani ya nchi hii. Kumbuka alikwamakamu wa raisi na anajua kila kitu kilichokuwa kinatendeka. Hata watu asingelia mtandaoni angefanya aliyoyafanya kwa sababu anayajua. Na lashasema toka day one kuwa atafanya anayoyafanya. Anantoa huyu na kumuweka kule na kumuweka huyu hapa ili kuleta ufanisi. Mdivyo alivyosema. Hamtaki alete ufanisi??Watu hawa jamii ya wachache wenye multiple users walioko mitandaoni ndio imekuwa sauti ya Watanzania wote, inasikitisha sana, jamii hii inatumika sivyo ndivyo ,wamejikita kama wao ndio wenye hati miliki ya hii nchi ,imefikia mpaka kiongozi mkuu wa nchi pamoja na kuwa na vyanzo vyote vya taarifa lakini kakundi haka kanamchezesha katakavyo.
Nakumbuka uteuzi wa Biswalo kundi hili lilimshambulia sana kiongozi mkuu wa nchi kwa matusi ya kila aina , katika matusi hayo mengine ni ya aibu kabisa kwa jamii yoyote iliostarabika
Leo kafanya kama wanavyotaka amepewa sifa lukuki.
Ni kwakua tu bwana yule kapoteza ubunge,yetu macho tuendelee kutafuta kusemwa vizuri mitandaoni na genge hili vigeugeu
Ww Itakua umebemendwa akili ykoYou are very right!
Kuna kakikundi kadogo kameinvest fedha na time kupiga propaganda mitandaoni lkn kwa uongozi wa vyama vya siasa.
Picha ya mitandaoni na Hali halisi mitaani ni tofauti sana. Mfano ni walivyokuwa wanamshambulia Magu lakini majority wanamkubali, ushahidi ni uchaguzi.
Mama ajiangalie.
Mama yako ndio hana akili +baba yakoUkisema "genge la mitandaoni" unawalenga watumiaji wa platforms zipi, Twitter?
The fact kwamba na wewe unatoa maoni yako hapa JF basi nawe pia ni member wa "genge la mitandaoni", labda tofauti yako tu na akina Kigogo, Maria Sarungi, Fatma Karume nk. ni kwamba wenzako wana akili, na wewe huna!
Kusema kweli awamu ya serikali serikali mpya pamoja bunge jipya.Ukitaka mataga uwakere we waambie hii ni serikali awamu ya sita.
Hakuna uchaguzi Tanzania uliofanyika Tanzania bali CCM iliulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetaniYou are very right!
Kuna kakikundi kadogo kameinvest fedha na time kupiga propaganda mitandaoni lkn kwa uongozi wa vyama vya siasa.
Picha ya mitandaoni na Hali halisi mitaani ni tofauti sana. Mfano ni walivyokuwa wanamshambulia Magu lakini majority wanamkubali, ushahidi ni uchaguzi.
Mama ajiangalie.
Hayo ni maoni yako. Ukweli vyama vya upinzani vilishiriki mchakato wote wa maandalizi ya uchaguzi ikiwemo Ku endorse kanuni za uchaguzi husika na kushiriki uchaguzi vizuri. Ila baada ya kushindwa kwenye uchaguzi ndiyo wakaanzisha hizo ngonjera!Hakuna uchaguzi Tanzania uliofanyika Tanzania bali CCM iliulawiti kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani