Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
- Thread starter
- #21
Kweli sako ni prayerSako international prayer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli sako ni prayerSako international prayer
Lakini Kagere ana goli nne na penati moja 5 bado hajamfikia mpole wa geitaNa penati 5 kati ya 7 walizopata wamekosa, kwa kweli mwaka huu makolo ni fungu la kukosa
Haha kama sisi wanamsimbazi tulivyogongwa viwili na waharabuHawa Kina Mayele Hawakuiona Rivers...! Mbona Hawakuifunga...! Kumfunga Geita imekuwa Kama Mgumba Kapata Mimba Mate mji mzima..!
Kama Ambavyo Makolo Mkilalamika Eti Yanga Inanunua MechiCha ajabu anayeongoza league ndio anaongoza kwa kulalamika anaonewa ila nafasi ya pili hana habari kabisa ila utopolo ina matatizo sana.
Utopolo akili zenu finyu sana lini umeiona simba inafanya press conference inalalamika kuonea?Kama Ambavyo Makolo Mkilalamika Eti Yanga Inanunua Mechi
Tulia Mulibwanji Kama Wewe Hulalalmiki Wapo Wenzio Wanalalamika Sisi Tunanunua Mechi...Sawa Kipwilo?Utopolo akili zenu finyu sana lini umeiona simba inafanya press conference inalalamika kuonea?
Tunaongea vitu kwa fact unaleta kejeli haya mmechukua league msimu huu tufanye umeshinda maana mwisho utatukana bure maana unaonekana nati zishaanza kulegea.Tulia Mulibwanji Kama Wewe Hulalalmiki Wapo Wenzio Wanalalamika Sisi Tunanunua Mechi...Sawa Kipwilo?
Wewe kweli ni Zero BrainHawa Kina Mayele Hawakuiona Rivers...! Mbona Hawakuifunga...! Kumfunga Geita imekuwa Kama Mgumba Kapata Mimba Mate mji mzima..!
Eeh Tunaongea Fact Mr Kipwilo... Nyie Hamuwez Fanya Press Kwasababu Vithibitisho Vya Mtakayosema Hamna Sio Kama Sisi Tukileta Malalamiko Na Vithibitisho Vipo Ndo Maana Umeona Hata TTF Na Bodi Ya Ligi Wakachukua Hatua Kwa Baadhi Ya Waamuzi Na Wachezaji Pia...Sasa Mkiambiwa Mlete Uthibitisho Wa Kuwa Yanga Ananunua Mechi Mnapoteana Na Tukiwauliza Swali Dogo Tu Kama Na Ile Mechi Ya Ngao Ya Jamii Kama Mlituuzia Ndo Mnapoteana Kabisa Kabisa KujibuTunaongea vitu kwa fact unaleta kejeli haya mmechukua league msimu huu tufanye umeshinda maana mwisho utatukana bure maana unaonekana nati zishaanza kulegea.
Yaani hata wakipiga collaboration bocco mugalu na kagere bado tu mayele anawazidi kweli inasikitisha watani wetu una haki ya kuwapa polePole yao
Kagere ana goli 6, thread closedInasikitisha sana hakuna mshambuliaji wa simba mwenye magoli 6 mpaka sasa
Wakati league inaanza team zilikuwa zinaahidiwa zikiifunga simba wanapewa mil 10 ila na yanga hakuna ahadi yoyote uliona simba wakilalamika nyie jitoeni ufahamu ila mnyama anakuja huyo.Eeh Tunaongea Fact Mr Kipwilo... Nyie Hamuwez Fanya Press Kwasababu Vithibitisho Vya Mtakayosema Hamna Sio Kama Sisi Tukileta Malalamiko Na Vithibitisho Vipo Ndo Maana Umeona Hata TTF Na Bodi Ya Ligi Wakachukua Hatua Kwa Baadhi Ya Waamuzi Na Wachezaji Pia...Sasa Mkiambiwa Mlete Uthibitisho Wa Kuwa Yanga Ananunua Mechi Mnapoteana Na Tukiwauliza Swali Dogo Tu Kama Na Ile Mechi Ya Ngao Ya Jamii Kama Mlituuzia Ndo Mnapoteana Kabisa Kabisa Kujibu
Kipwilo Una Ushahidi Wa Icho Unachosema? Mambo Ya Kuongea Vitu Af Mkiambiwa Mthibitishe Mnashindwa Ndo Tunapowashangaa..Af Huyo Mnyama Wako Anakuja Kutokea Wapi Akati Yanga Kila Siku Tunashinda Na Mayele Anakwenda Kambani [emoji4]Wakati league inaanza team zilikuwa zinaahidiwa zikiifunga simba wanapewa mil 10 ila na yanga hakuna ahadi yoyote uliona simba wakilalamika nyie jitoeni ufahamu ila mnyama anakuja huyo.
Kipwilo Una Ushahidi Wa Icho Unachosema? Mambo Ya Kuongea Vitu Af Mkiambiwa Mthibitishe Mnashindwa Ndo Tunapowashangaa..Af Huyo Mnyama Wako Anakuja Kutokea Wapi Akati Yanga Kila Siku Tunashinda Na Mayele Anakwenda Kambani [emoji4]