Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Salaam Ndugu zanu,
Bunge linaendela muda huu, mgomo wa kariakoo unaendela muda huu lakini Spika analetewa hoja hii mezani anajifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwamba Spika anashindwa kutazama hata vyombo vya habari kujua nini kinaendelea? Eti anadai anataka ajiridhishe kama ni kweli au la?
Kuna kitu anakijua kuhusu huo mgomo anakificha?
Kwanini halipi jambo hili uzito kuacha lijadiliwe na utatuzi upatikane?
Hili suala linakwaza sana.
Pia Soma
- News Alert: - Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023
Bunge linaendela muda huu, mgomo wa kariakoo unaendela muda huu lakini Spika analetewa hoja hii mezani anajifanya kama hajui kinachoendelea.
Kwamba Spika anashindwa kutazama hata vyombo vya habari kujua nini kinaendelea? Eti anadai anataka ajiridhishe kama ni kweli au la?
Kuna kitu anakijua kuhusu huo mgomo anakificha?
Kwanini halipi jambo hili uzito kuacha lijadiliwe na utatuzi upatikane?
Hili suala linakwaza sana.
Pia Soma
- News Alert: - Mgomo mkubwa Soko la Kariakoo: Maduka yamefungwa, Mei 15, 2023