DOKEZO Inasikitisha: Tazama hali ya miundombinu Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Unguja, Zanzibar

DOKEZO Inasikitisha: Tazama hali ya miundombinu Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Unguja, Zanzibar

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Imebidi nicheke, zile pesa waliteketeza Kizimkazi si wangetengeneza hapa jamani.

Ukiwaona kwenye majukwaa na full suti zao Utadhani watu kumbe ni vilaza.
wanasema akili mtu huzaliwa nazo,mimi nasema hata kama hukuzaliwa nazo unaweza ambukizwa.

watu wa ccm hata kuambukizwa akili imeshindikana.
 
Imebidi nicheke, zile pesa waliteketeza Kizimkazi si wangetengeneza hapa jamani.

Ukiwaona kwenye majukwaa na full suti zao Utadhani watu kumbe ni vilaza.
Aibu sana

Ile gharama waliyotumia kwenye show ile kizimkazi si wangetumia kuiboroshea hospitali hapo

Ova
 
Tatizo ni jamii ina watu wachafu sana, yaani unajiuliza hapo kuna doctors na wauguzi wanashindwa hata kusafisha fridge. No wonder same hospital ingejengwa moshi muonekano ungekuwa tofauti kutokana na haiba ya watumiaji wa hiyo hospital
 
Nimeona kitu kama OVEN hivi.. heheh mtakuja kufa umbwa nyinyi na bado mnapiga kelel mnataka mjitenge na muungano
 
Wanatumia pesa nyingi kuwakipa wawakilishi kwenye bunge lao kukarabati hospitali mpaka waje wazungu wawasaidie.
Wazanzibari hawwajiwezi. Kila kitu kubebwa .
 
Imebidi nicheke, zile pesa waliteketeza Kizimkazi si wangetengeneza hapa jamani.

Ukiwaona kwenye majukwaa na full suti zao Utadhani watu kumbe ni vilaza.
kwani kuna mtu wa upande ule ana chembe hata ya akili? nadhani mnanielewa waungwana. ukishaona mtu anaamini katika kufagiliwa tu ujue mmepigwa
 
Tuko bize tunagawa pesa kwa wachezaji wakati ni jukumu lao kushinda
 
mbona kama hospitali tangia ijengwe na sultan Seyd Said haijwahi kufanyiwa maboresho? ila hicho kiti ni balaa na umkute kakaa nesi mmoja bonge usimuongeleshe mana unaweza kujikuta unasahau ulipoingilia.
Hehehe yaani inasikitisha
 
Kama ni kweli hapo naona kuna hatari ya kupata maambuzi ya magonjwa mengine.
 
Aiseeh!! Na hiyo ndo hospital kubwa na maarufu Hapo unguja.

Najiuliza uko mitaani, itakuwaje.?
 
Back
Top Bottom