DOKEZO Inasikitisha: Tazama hali ya miundombinu Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Unguja, Zanzibar

DOKEZO Inasikitisha: Tazama hali ya miundombinu Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja, Unguja, Zanzibar

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Majuzi Rais wao alikuwa Ujerumani anajitapa kwamba Zanzibar ya wakati ule siyo ya sasa, akawaambia diaspora warudi wajionee, sasa kama hivi ndiyo hali ilivyo baada ya rais kuboresha vipi ilikuwa kabla ya hapo
Huyu kijana wa Mkuranga alienda kusomea Usanii kule Uturuki na inaelekea amepasi vizuri sana
 
Back
Top Bottom