Inatia wasiwasi na kuumiza sana kuona Majeshi yetu yanavyotumika Kisiasa

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Yaani baada ya CHADEMA kutangaza maandamano kuanzia Januari 24 ghafla Mkuu wa Mkoa wa Dar anaibuka eti Majeshi yatakuwa yanafanya usafi katika jiji la Dar.

Yote hii ni kutisha Wapinzani wasitumie haki yao ya kikatiba kwa uhuru.
 
inad hyo sku wakazi wa dar waamke mapema wanye kimafungh mafungu barabarani 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…