Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 576
Kwa kipindi kirefu sana tangu nipo shule ya secondary nilishawahi kukumbwa na tatizo kama hili maranyingi sana najua na wewe unaesoma huu Uzi nadhani umeshawahi kupatwa na tatizo kama hili yaani unapo amka asubuhi ama usiku unashindwa kabisa Kunyanyuka na sio kwamba ni ndoto Bali unaji elewa kabisa na unaona kila shughuli zinavyo fanyika kwa wakati huo
Huu sio ugonjwa Bali ni hali inayo itwa kitaalamu "sleeping paralysis "
Hii hali ikikupata maranyingi utapata hofu kubwa sana na utahisi kama jinamizi hivi litakutokea baada ya mfupi lakini sio mambo ya kichawi wala kiroho
Na hii hali huondoka baada ya kama dakika 2-3
Hii hali husababishwa na nini?
Ina sababishwa na unapo lala katika style ya kimgongomgongo gani kulalia mgongo wako na USO wako kutazama juu wakati ume lala ni hatari sana hii kitu.
Ndio maana tuna shauriwa tulalie ubavu wetu Wa kulia.(kama waislamu wanavyo lala)
Je unapokumbwa na tatizo kama hili unatakiwa ufanye nini ilikuliondoa
Kukaa dakika 2-3 bila kunyanyuka wala kuongea na
Ukijaribu kuongea ulimi unakua mzito balaa
Yaani kama unasema baba utaishia kusema aahh
Tena sauti ya chini kabisa na kadri unavyo zidi kuongea ndivo unavyo zidi kuongea vitu visivyo eleweka ndugu wasomaji hii sio ndoto Bali ni real life situation natamani sana kupata MTU hata mmoja ambaye amewahi kukumbwa na tatizo kama hili ili awape mrejesho jinsi inavyo tisha.
==>ili kuondoa tatizo kama hili kwanza fuata hatua zifuatazo
(1) jaribu Ku kunjua mguu wako na mikono yako najua ni kazi ngumu sana ila jitahidi na mwisho wa Siku Lita ondoka kabisa.
(2)kunja USO wako kama MTU alie lamba ndimu
Hii itasaidia pia
(3)usipige kelele kwani utadhidisha uwoga zaidi kwani kelele utakayo ipiga hata MTU akiweka sikio lake mdomoni kwako hatasikia kitu.
Pia omba kwa mungu ili akuondolee tatizo hili hatari
Jinsi ya kuepuka kupatwa na tatizo kama hili
Acha kulalia mgingo wako
Asanteni wakuu
Huu sio ugonjwa Bali ni hali inayo itwa kitaalamu "sleeping paralysis "
Hii hali ikikupata maranyingi utapata hofu kubwa sana na utahisi kama jinamizi hivi litakutokea baada ya mfupi lakini sio mambo ya kichawi wala kiroho
Na hii hali huondoka baada ya kama dakika 2-3
Hii hali husababishwa na nini?
Ina sababishwa na unapo lala katika style ya kimgongomgongo gani kulalia mgongo wako na USO wako kutazama juu wakati ume lala ni hatari sana hii kitu.
Ndio maana tuna shauriwa tulalie ubavu wetu Wa kulia.(kama waislamu wanavyo lala)
Je unapokumbwa na tatizo kama hili unatakiwa ufanye nini ilikuliondoa
Kukaa dakika 2-3 bila kunyanyuka wala kuongea na
Ukijaribu kuongea ulimi unakua mzito balaa
Yaani kama unasema baba utaishia kusema aahh
Tena sauti ya chini kabisa na kadri unavyo zidi kuongea ndivo unavyo zidi kuongea vitu visivyo eleweka ndugu wasomaji hii sio ndoto Bali ni real life situation natamani sana kupata MTU hata mmoja ambaye amewahi kukumbwa na tatizo kama hili ili awape mrejesho jinsi inavyo tisha.
==>ili kuondoa tatizo kama hili kwanza fuata hatua zifuatazo
(1) jaribu Ku kunjua mguu wako na mikono yako najua ni kazi ngumu sana ila jitahidi na mwisho wa Siku Lita ondoka kabisa.
(2)kunja USO wako kama MTU alie lamba ndimu
Hii itasaidia pia
(3)usipige kelele kwani utadhidisha uwoga zaidi kwani kelele utakayo ipiga hata MTU akiweka sikio lake mdomoni kwako hatasikia kitu.
Pia omba kwa mungu ili akuondolee tatizo hili hatari
Jinsi ya kuepuka kupatwa na tatizo kama hili
Acha kulalia mgingo wako
Asanteni wakuu