majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 454
- 636
Beibe vp tenakha!
thafi sijhui weweBeibe vp tena
Mbona wewe ulichukua mapaja ya mama yako lakini baba yako hakwenda ku lalamika magazetiniNimeshuhudia na kupatwa na hili janga, my boy sura kachukuwa yangu, miguu ya mama yake!
Grrrrrr!
Nimekereka sana aise...
Wanaume wenzangu je imewakumba hili janga pia??!!!
Sasa unanungunika nini,,kwani huyo mtoto kajiumba,,au muumbe wewe afu mtengeneze miguu iwe kama yakoNimeshuhudia na kupatwa na hili janga, my boy sura kachukuwa yangu, miguu ya mama yake!
Grrrrrr!
Nimekereka sana aise...
Wanaume wenzangu je imewakumba hili janga pia??!!!
Mkuu Inbox yako haipokei message.Acha kukufuru wewe, anayeumba ni Mungu. Kwanza hukusoma Genetics kidato cha tatu ??? Acha hizo mambo bwanaa
Bora kachukua miguu tu... maboy wengine wanachukua moaka shape za mama zao(CHURA)Nimeshuhudia na kupatwa na hili janga, my boy sura kachukuwa yangu, miguu ya mama yake!
Grrrrrr!
Nimekereka sana aise...
Wanaume wenzangu je imewakumba hili janga pia??!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mbona wewe ulichukua mapaja ya mama yako lakini baba yako hakwenda ku lalamika magazetini