Inaudhi mtoto wa kiume kuchukuwa miguu ya mama yake, inakera kwa kweli

Inaudhi mtoto wa kiume kuchukuwa miguu ya mama yake, inakera kwa kweli

Hiyo ni kufuru, omba sana maana maana hiyo miguu unayoikataa unaweza ukaikosa kabisa.
Siombi mabaya ila sio vizuri na kama ni jokes sawa
 
Miguu iyo kivipi yani!! Uyo mtoto ana umri gani kwani?
 
Nimeshuhudia na kupatwa na hili janga, my boy sura kachukuwa yangu, miguu ya mama yake!
Grrrrrr!
Nimekereka sana aise...
Wanaume wenzangu je imewakumba hili janga pia??!!!
Si bure wewe utakuwa si rizki! kwa hiyo umeona hiyo kazi unayoifanya ni nzuri sana unaanza kumchulia na mwanao?Unataka aanze akiwa mdogo ni nani atendeleza kizazi chako?
 
Jana nilienda royal ,jirani na Gold crest ,nilienda kununua vitafunio nilikutana na mkaka mzuri huyo kuanzia juu mpaka chini,vidole vya miguu mim mtoto wa kike simfikii hata bure,maji ya kunde alionekana hana mambo mengi ule ujana mwingi maana kanyoa vyema tu,mkono wa kushoto kwa juu alikua na tattoo
We kaka ni handsome kidogo afanane na naniih wa humu jf
Ulimwomba namba ya simu?
 
Jana nilienda royal ,jirani na Gold crest ,nilienda kununua vitafunio nilikutana na mkaka mzuri huyo kuanzia juu mpaka chini,vidole vya miguu mim mtoto wa kike simfikii hata bure,maji ya kunde alionekana hana mambo mengi ule ujana mwingi maana kanyoa vyema tu,mkono wa kushoto kwa juu alikua na tattoo
We kaka ni handsome kidogo afanane na naniih wa humu jf
Ulimwomba namba ya simu?
 
Shukuru Mungu kachukua miguu ya mama yake...

Kuna wale bahati zao mbaya, huchukua vijungu kabisa...


Cc: mahondaw
 
Nimeshuhudia na kupatwa na hili janga, my boy sura kachukuwa yangu, miguu ya mama yake!
Grrrrrr!
Nimekereka sana aise...
Wanaume wenzangu je imewakumba hili janga pia??!!!
Huyo atapendwa sana na mademu. Avae pensi tu.
 
Inaboa sana, ila inafurahisha kwa vile mashine kachukua ya baba yake[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Inaboa sana, ila inafurahisha kwa vile mashine kachukua ya baba yake[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
What if baba anakibamia???
 
Back
Top Bottom