auferet dominus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 1,804
- 1,292
Nimeshuhudia na kupatwa na hili janga, my boy sura kachukuwa yangu, miguu ya mama yake!
Grrrrrr!
Nimekereka sana aise...
Wanaume wenzangu je imewakumba hili janga pia??!!!
Kwa kustigmatize wanawake bado hujapona akili. Na kwa taarifa mtoto huchukua chromosomes nyingi kwa baba. Uskute we una michirizi ila kwa kuwa iko kwa nyuma huioni