kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
- Thread starter
- #101
[emoji3][emoji3]Sikiliza huu ushauri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3]Sikiliza huu ushauri.
Picha Tena!!!ebu weka picha yake nikwambie kitu
atakudharau!? kwani akikusifia unaongezeka Nini mzee babaAsee Ni kweli mkuu
nahsi nikimuacha atanidharau eti.
Factor ni nyingi sanaIla KWELI Kuna wanaume hawaridhishi.... Sasa sijui mtasema Ni bwawa.. au mtera dam
...pole Muache akatafute anaemridhisha...
Mwache, jifunze uliyooambiwa, anza upya na kasi mpya kwa mpya..Habari wakuu
Pamoja na umwamba wangu katika mapenzi
Nimekutana na binti mmoja ambae tumekutana kimwili Mara 4
Leo kanichana wazi baada ya mchezo kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa na mwanaume yeyote.
Nimebaki njia Panda sijui Cha kufanya
Natamani nimuache ila naona sio solution nzuri
Naombeni msaada wenu
Hii kali!!![emoji23][emoji23]Sasa kama yeye ndio haliziki wewe yanakuhusu nini?
Aliwe ndogo tu ataridhika mwenyeweIla KWELI Kuna wanaume hawaridhishi.... Sasa sijui mtasema Ni bwawa.. au mtera dam
...pole Muache akatafute anaemridhisha...
Sawa mkuuMwache, jifunze uliyooambiwa, anza upya na kasi mpya kwa mpya..
Simple
Una prove wapi Bhana... Watu wanajua kucheza sinema ...😂😂😂😂Nilikua naprove mwenyewe
Punguzeni mawazoWewe ni mbakaji mwenzangu mkuu.Stress za maisha huwa zinanistress nashindwa kumwandaa she wangu vizuri.
Na wewe umeanza lini kuwa muongo [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Walikuwa wanakudanganya ......[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani akikudharau tatizo liko wapi ?!. Zaidi utajifedhehesha kwa kukupotezeaAsee Ni kweli mkuu
nahsi nikimuacha atanidharau eti.
DuhInakuaje humeplekei moto mpaka anakudharau unamfuga kwani dada yako huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe pia unaongopa sio, mnadanganya ili iweje lakini wakati mnapiga kelelele chumba kizima sauti ni yako mpaka hotel nzima shughuli zinasimama kwa mahaba halafu baadae unasema huridhishwi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una uhakika?? Kuna wanawake huwa wanadanganya katika Hili...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Toka Jana sijamtafutaKwani akikudharau tatizo liko wapi ?!. Zaidi utajifedhehesha kwa kukupotezea