Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Hahaa, sasa hayo mambo si ya kukaa na kuzungumza tu na mumeo awe anakufanyia mambo kama hayo, unajua wanaume wengi huwa tunapunguza hizo nakshi nakshi tukishaoa kwa sababu tunajua tushakuweka ndani

Hahaa, mambo ya pm ni ya huko huko utayajua tu [emoji4]

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Hapo ndipo mnapokosea ninyi wanaume.
Unajua umeshanioa basi ndio umemaliza kila kitu.
Kaka....unaangamia.

Na ndio maana wapo wanaojiendeleza kielimu wakiwa makazini.
Sasa wewe nioe afu jibweteke, nikikutana na Bluce Lee huko matembezini, utajuta, nakuja "kujisomea gazeti" ndoani, nikishalifunga gazeti kwako.....huko nje naenda kumaliza kila kitu mpaka matangazo ya michezo "naicheza"
 
Duh inawezekana kila mmoja alijiona ana haki na huyo mwanamke, wanawake zetu karibu wengi ukiwauliza kama wako katika mahusiano wanasema 'Hapana" Nipo Single..... Inaonekana kila mmoja hapo alihisi amemfumania mwingine na hasira zikatawala kisa udanganyifu

Kupigania mwanamke siku hizi na mapenzi yenyewe haya! Mimi binafsi siwezi nitajitahidi sana sana kutoruhusu hasira na maamuzi ya ghafla...Inauma sana
 
Daah Asee Pumzika Boss,

Waache Tu Wabaki wapambane na maumivu yao waliochukua uhai wako.

Waache Tu boss wapindishe watakavyopindisha huku duniani almradi wajione washindi.

Waache Tu Boss umewatangulia makao mapya watakukuta siku moja.

Binadam tunajisahau sana kwa Madaraka, Tamaa na Hamu ya muda mchache duniani.

Pole Francis

Tutaanguka, Tutasimama Tena.

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
Wanaume tunatofautiana, kuna wanaume wana wasiwasi kuwa watoto si wao ila kupima hawataki, hawataki stress.

Kuna wengine hata wasiwasi huo hawana wala hawaoni sababu ya kuwa nao.

Unajua ujanja wa wanawake ni mdogo sana, vipimo vyenyewe ni mimi na watoto basi, mwanamke hata hausiki, kwanini nisiwapime nijiridhishe?

I trust but I inspect, yaani sina ile trust plain plain






Sent from my SM-G955FD using JamiiForums mobile app
Sikatai...ila wenye mawazo kama yako wako wachache sana.
Na sababu zinazofanya washindwe kufanya hivo huenda wataashindwa kueleweka na jamii.
Mtoto ana miaka 10, afu uambiwe si wako, wewe mwenyewe utashangaa, je jamii itakuchukuliaje?
Pia wengine hawataki stress kwani wameshapenda mke inatosha.
 
Pole kwa wafiwa

Sent from my HTC Desire 816G dual sim using JamiiForums mobile app
 
Ndio utaratibu wenu wadada ,maana tayari watu wa takwimu wanasema 57% ya wanaijitambulisha kuwa ni watoto wao sio wakwao ,wamesingiziwa.
Hatari sana hii.
Sasa ww unaambiwa wek mimba,unahunyahunya tu,mkuu dawa ni Kuwapa mimba tu

Sent from my G7-L01 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke siyo ndugu yako usijivunie ukiwa naye na wala usisikitike akiondoka
 
Na ukikutana na mwanamke ana-act mapenzi, utasema wewe ndio umeibeba dunia yote.
Utapewa mahaba ambayo hujawahi kupewa tangu uzaliwe.
Ila akishapata anachotaka, anakuacha kama kiraka.
Wanaume wajiangalie sana aisee.
Hali mbaya sasa.
Kunawanaume wengine hawalitambui hiloo,

Kuna lafikiangu siku moja amepeta dem kaenda nae sehem ,baadae mwabamke kaenda kuoga ,simu take ikaingia msg,baada ya kuisoma ni jamaa yake mwingine ,alichokifanya akakopi ile namba name kuisevu,kesho yake huyo jamaa sijui amegundua msg na huko ,basis uvumilivu umemshinda
Akapigia simu,anapokea tu anakutana na natusi,jamaangu yule akamwambi huyo mwanamke sio muaminifu,hata siku ile wakati unamtumia msg alikua kwangu,
Hebu chunguza hata nambayako alivu kwa jina LA Mjomba,jamaa hajakubali kabisa ,ndio kwaanza jamaa anamwambia anataka kumgombanisha tu.
 
Hao watu hawajiui kwa K tu, namini wanajiua kwa mengi.

Pia kuna wanaume ambao wakipenda wamependa kweli
Hao wapo wengi sana.
Sema ndugu ndio nao wanakuwa msumari kidondanj
Ukipenda sana utaambiwa umepewa dawa.

Sio sababu ya K tu, huenda alishapanga nae malengi afu hayajatimia.
Au jamii inayomzunguka Itamcheka,
Kazini pia.
Ila bhana.....acha tu mapenzi yatawale dunia.
 
Sikatai...ila wenye mawazo kama yako wako wachache sana.
Na sababu zinazofanya washindwe kufanya hivo huenda wataashindwa kueleweka na jamii.
Mtoto ana miaka 10, afu uambiwe si wako, wewe mwenyewe utashangaa, je jamii itakuchukuliaje?
Pia wengine hawataki stress kwani wameshapenda mke inatosha.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji117]
 
Kunawanaume wengine hawalitambui hiloo,

Luna lafikiangu siju moja amepeta dem jaenda nae sehem ,baadae mwabamke kaenda kuoga ,simu take ikaingia msg,baada ya kuisoma ni jamaa yake mwingine ,alichokifanya akakopi ile namba name kuisevu,kesho yake huyo jamaa sijui amegundua msg na huko ,basis uvumilivu umemshinda
Akapigia simu,anapokea tu anakutana na natusi,jamaangu yule akamwambi huyo mwanamke sio muaminifu,hata siku ile wakati unamtumia msg alikua kwangu,
Hebu chunguza hata nambayako alivu kwa jina LA Mjomba,jamaa hajakubali kabisa ,ndio kwaanza jamaa anamwambia anataka kumgombanisha tu.
Mie katika vitu ambavyo sitaki kushauka navyo, ni simu ya mwenza wangu.
Maana najua yale majina yote ya mafundi au ya bar au madalali....ni namba pure za wanawake.
Sasa stress zote za nini?
Maadam ninapomuhitaji mimi anakuja na ninachotaka ananipa....akhaaa!!!!
Sitaki kabisa
 
Lazima alienda kwa surprise!

Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
 
Mie katika vitu ambavyo sitaki kushauka navyo, ni simu ya mwenza wangu.
Maana najua yale majina yote ya mafundi au ya bar au madalali....ni namba pure za wanawake.
Sasa stress zote za nini?
Maadam ninapomuhitaji mimi anakuja na ninachotaka ananipa....akhaaa!!!!
Sitaki kabisa
Usisahau kuna Ukosefu wa Kinga Mwilini.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Poleni sana wafiwa

Tuliobaki tunajifunza nini kwenye ili: Inabidi kama unaenda sehemu uwe unatoa taarifa kabla maana inaonyesha jamaa kama alienda kwa surprise bila kumtaarifu mchumba wake na mwisho wake amekutana na alichokikuta.

Wazee wetu zamani walikuwa wakirudi nyumbani toka safari (Enzi hizo simu hamna) walikuwa wanawapa vijana mizigo wapeleke nyumbani huku wao wakinyuti vijiwe vya kahawa kupoteza muda ili kuepusha mafumanizi kama haya.
Haaaaaa! walikuwa hawataki bp safi sana wazee wetu.
 
Poleni sana wafiwa Tuliobaki tunajifunza nini kwenye ili: Inabidi kama unaenda sehemu uwe unatoa taarifa kabla maana inaonyesha jamaa kama alienda kwa surprise bila kumtaarifu mchumba wake na mwisho wake amekutana na alichokikuta. Wazee wetu zamani walikuwa wakirudi nyumbani toka safari (Enzi hizo simu hamna) walikuwa wanawapa vijana mizigo wapeleke nyumbani huku wao wakinyuti vijiwe vya kahawa kupoteza muda ili kuepusha mafumanizi kama haya.
Sawa kabisa mkuu, au kama sasa kupiga simu unapotoka, umefikia wapi, dk au lisaa kabla hujaingia, yasaidia kumpa taarifa mwenzako aondowe vithibiti, ajitayarishe, atayarishe mazingira ya boma lako kama ulivyoliacha..
Sababu wanawake hawachezwi tena, midume napo wala hatuendi jando mkuu, madhara yake ndio haya...maendeleo yana tabu sana Afrika..
 
Back
Top Bottom