Yellow bone
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 256
- 329
Nyie wanawake michepuko mtatumaliza.....kuolewa hamtaji mmebaki kugonganisha wanaume kama Atm mashine...mungu anawaona..
R iP francis
R iP francis
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni tatizo mkuu?Mbona kama ilishaletwa humu jana hii au sio francis huyu. [emoji15]
Tatizo la nini?Kwani ni tatizo mkuu?
wamekamatwa walikuwa wanne wanampiga mtu mmojaJe muuwaji amekamatwa?.
tena huyu mwanamke hana hata wasiwasi anaongea macho makavu kama hajasababisha kifoUpumbavu wake!
Vifo vingine vya kujitakia.
Unapigana kisa K??
Tena K isiyo ya mkeo halali
Alazwe mahali anapostahili.Amen!
asantePoleni kwa msiba RIP Francis Ngolle.
[emoji1] [emoji1] YESU tena??so sad!vip huyo dada alihudhuria msibani!hapana kwakweli YESU arudi tu
daah wanawake wametofautiana kuna wawerevu na mashetani huyo dada atakuwa shetani na nafsi ya marehemu itamtesa kwakuwa amekufa na dukuduku
Ana kaka yake anaitwa Tom ngolle yuko madini dom au ni majina tu yamefanana naomba kujuzwaAnaandika Respicius Francis
________________________________________
Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990.
[HASHTAG]#Huyu[/HASHTAG] kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili nikutana nae mtaani.
[HASHTAG]#Juzi[/HASHTAG] nilipata habari kuwa kijana mmoja kutoka maeneo ya mtaani kwetu ameuawa huko Mwanza alipoenda kumtembelea mchumba wake huko Mwanza akitokea Dar Es Salaam lakni kwa bahati mbaya alimkuta mchumba akiwa na mwanaume mwingine chumbani, Inasemekana huyo mwanaume aliyemkuta chumbani akiwa na mchumba wake ni askari kwahiyo mapambano yalianza ambapo mwanamke alikimbia na kuacha wanaume wakipigana.
[HASHTAG]#Mwanamke[/HASHTAG] aliporudi alikuta Francis Ngolle tayari amepoteza maisha ,Sasa haijulikani alipewa kipigo cha aina gani mpaka kusababisha kupoteza uhai.
[HASHTAG]#Lakini[/HASHTAG] cha kusikitisha sana mchumba wa Francis Ngolle mimi binafsi mfahamu sana na mara nyingi tumewahi kukutana kwenye kikundi chetu cha dini cha {VIWAWA] enzi hizo kabla ya huyu dada ajaenda kikazi mwanza lakini sikujua kabisa kama wana uchumba na FRANCIS NGOLLE
[HASHTAG]#Lakini[/HASHTAG] cha kusikitisha zaidi Francis Ngolle na huyu mchumba wake hapa dar Es Salaam wanaishi karibu sana siyo mbali sana kwa lugha nyingine wanaishi karibu na mimi pia.
[HASHTAG]#Francis[/HASHTAG] Ngolle alikuwa tayari amejitamburisha kwa wazazi wa mchumba wake kwahiyo wazazi wa pande zote mbilli walikuwa wanatambua pia.
[HASHTAG]#Kinachotia[/HASHTAG] simanzi zaidi wazazi Francis Ngolle na Mchumba wake hapa Dar es Salaam wanasali kanisa moja##
[HASHTAG]#Francis[/HASHTAG] Ngolle bila kujua kama anaenda kupoteza maisha anafunga safari kwenda kwa mchumba wake huko mwanza lakini anakuta mchumba wake ana bwana mwingine chumbani ,Mapambano yanaanza na mwisho wa siku anapoteza maisha.
[HASHTAG]#Muda[/HASHTAG] huu nimetoka msibani hakika ni majonzi makubwa sana nimejaribu kuangalia maiti yake wakati nikitoa heshima za mwisho inaonekana alipigwa sana ,Utafikiri ni mtu aliyepata ajali mbaya.
R.I.P Francis NgolleView attachment 540970
Ushamba mkubwa mno mno kwani ungeweza muao pia akapiga njeSorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.
Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app