Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

kimsingi huyu ngole hata asingeuwawa bado angestahili kufikishwa mahakamani maana ame intrude privacy ya mtu na mpenzi wake.
 
R.I.p francis

Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
 
huyu jamaa namjua vizuri nilisoma nae pia nimekaa nae mtaa mmoja

R.I.P Francis
 
Upumbavu wake!
Vifo vingine vya kujitakia.
Unapigana kisa K??
Tena K isiyo ya mkeo halali
Alazwe mahali anapostahili.Amen!
Mshamba alie muua nwenzake au ote ,kama wanaume walitakiwa waulizane kwanza walipotokea,Pili waungane na wapambane na huyu mwanamke ikibidi wamchalaze viboko vya kutosha kisha waachane nae .

HALAFU HAWA MAASKARI WALIO WENGI HAWATUMIAGIA AKILI KABISA,UNAKUTA KADEMU KANAMWAMBIA KUNAMTU KANITONGOZA,AU ANANICHOKOZA BILA YA KUHOJI YEYE ANAENDA KUPIGA MTU.
HUU NI UJINGA KABISA.
 
Sawa.poleni.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Kuna babu ana wake wawili vijiji tofauti hakiama zamu kwenda kwa mke mwingine mchana uwa anampa baiskeli mjuu wake na kumwagiza mjuu wake kumwambia Leo

Hii ni busara tusiige kila kitu wote kumbuka sisi na wanadamu,

Pumzika kwa amani
 
Mshamba alie muua nwenzake au ote ,kama wanaume walitakiwa waulizane kwanza walipotokea,Pili waungane na wapambane na huyu mwanamke ikibidi wamchalaze viboko vya kutosha kisha waachane nae .

HALAFU HAWA MAASKARI WALIO WENGI HAWATUMIAGIA AKILI KABISA,UNAKUTA KADEMU KANAMWAMBIA KUNAMTU KANITONGOZA,AU ANANICHOKOZA BILA YA KUHOJI YEYE ANAENDA KUPIGA MTU.
HUU NI UJINGA KABISA.


Ukae uulizane nini? yaani umemfumania mtu ukae nae muulizane itasaidia nini?
Ukimfumania mwanamke Sepa!
Tena sio mkeo ni mzinzi mwenzako?
Hata biblia ilisema aziniye na mwanamke hana akili kabisa.
Sasa hao wanazini na wanapigana
 
Nawaza alijua anaenda home kwake maskini alikuwa amempangia labda..
A nafika pale anakutana na njemba linauliza we ni nani duh panic..

Maskin kapigwa kapoteza maisha kisa mwanamke asiyemwaminifu

SURPRISE SIYO NZURI...
Lala kwa amani.... nakumbuka wazee wa zamani akikaribia home anapiga chafya .. au mluzi au anakohoa .. sasa naelewa
Inauma sana SURPRISE SIYO NZURI...
 
Back
Top Bottom