Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Ukiona mwanamke wako ana mahusiano na mwanaume mwingine ni dalili ya kwamba amekudharau, ni kumuacha aendelee tu na wewe kuangalia ustaarabu wako. Kupigana na mwanaume mwenzako kwa ajili ya mwanamke anayekudharau ni upuuzi.
Kwa hali hiyo utaoa wangapi sasa. Wengine wanafanya hivyo kwa tamaa tu.

senty from my Iphone 7 using jamii forum app
 
Siyo kisa k,upendo ,na siyo kujamiana kupenda ni ugonjwa mkubwa sana yalinikuta kama hayo ,ilibaki kdogo nimue MTU,toka hapo cjawahi penda mwanamke, japo Nina Mke nmeshamwambia sikupendi ila nitalidhika na heshima utakayonipa,kupenda kubaya sana pole sana marehemu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app

Duh Humpendi Halafu Mnaishi Wote
 
Binadamu tuna tofautiana sana sijui kma nitakuja kupigana kisa mwanamke
 
Ukae uulizane nini? yaani umemfumania mtu ukae nae muulizane itasaidia nini?
Ukimfumania mwanamke Sepa!
Tena sio mkeo ni mzinzi mwenzako?
Hata biblia ilisema aziniye na mwanamke hana akili kabisa.
Sasa hao wanazini na wanapigana
Akisepa,kwa mwanamke mwenye tabia za ujanjaujanja kama ww rubi utapata nafasi ya kuendelea kuwadanganya kutokana na tamaa za mwili na lambda kipato.chamsingi tunakaa pamoja kama wanaume na kwasababu umetudanganya tunakucharaza viko hadharani ili iwe Fundisho kwa wengine.
 
Hiki kifo kimeniuma sana, kijana na degree yake ya miamba, anaondoka bado mdogo kabisa, katika maisha emotinal intelligence ni kitu cha muhimu sana, ingawa ni ngumu pale angewakuta na akageuza zake na kuja tulia then angetafuta mwanamke mwingine. Yaani angejiambia it is not the end of the world, time heals, Life must go on no matter what.
Naam Dada
Skia bana ifike mahali wanaume tusiaibishe uanaume wetu,wnaposema roho ya kiume wanamana kubeba mambo magumu,ifike mahali hii tabia ya kupigania mapenzi tuwaachie watoto,
Wapo watu wanawakuta wake zao walio zaa nao na kuwekeza mambo kibao wanachepukwa na mtu hapigani wala kuzozana anaongea kiutu uzima halafu anachukua mamuzi mengine,kupigana unajaza watu bure,halafu nguvu zenyewe zipo wapi zama hizi za chips kuku,
Onesha uanaume kwa kubeba mambo magumu,
Na ndo maana tunasema watoto tuachieni vichwa ngumu mapenzi,nyie tulieni nyumbani,maana mapenzi ya zama hizi ni pasua kichwa,asilimia kumi utamu asilimia tisini machungu,
Mtauawa bure,

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Huko ni kufa kizoba.

K si yake acha atiwe na si Kuna wanawake wengi tu kitaa,shida ya nini?

Hata nikikuta wife anatiwa sipigani labda awe kavamiwa anabakwa.
 
kimsingi huyu ngole hata asingeuwawa bado angestahili kufikishwa mahakamani maana ame intrude privacy ya mtu na mpenzi wake.
Ngolle Ndiye Mwenye Mke Sasa Ashtakiwe Nini Au Hujaelewa Habari
 
Daah aliingia chaka la mjeda aisee wajeda wanamapigano ya kuua nadhani alitaka kumuonyesha mpenzi wake kuwa yupo ngangari ila ndo bahati mbaya..tuzidi kujifunza kuwa hawa viumbe tuishi nao kwa akili..ukifumania kuna kuumiza au kuumizwa kama hujui unaepambana nae..R I P
 
Nashkru mungu nilizoea nikiwa bado mdogo kuwa na wasichana warembo na kuwatosa kabla hawajanitenda hivyo huwa nawahuruhumia sana wanaume wezangu wanaowekeza akili kwa mwanamke. Ukiniuliza ni mwanamke yupi unampenda kuliko yeyote takujibu ni mama yangu, Ukiniuliza ni mwanamke yupi unamuwaza kila mara hata usiku wa manane nitakwambia ni mama yangu mzazi. Na Ukiniuliza ni nani rafiki yako unayechangia nae nguvu na ushauri kwa ajili ya familia yako takujibu ni mke wangu. NB: Urafiki unaweza ukawepo leo na kesho usiwepo huo ndio umekuwa mwongozo wangu tangu nabalehe hadi leo.

Sukumaland
 
Sorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.
Hujatembea ukakutana na K mnato wewe.
K inakukaribisha kabla hujapiga hodi.
K ina vikolombwezo kibao
K inanukia alhudi, mjahidulu, mnatonato....
K inanawiwa shabu, inapanguswa kwa ufusho wa uturi waridi.
K inakuchekea
K imenona
K ina futa moja matata sana
Acha tu K iitwe K.

Ndio maana wanaume mnauana
 
Uchumba wa kimila na kidini au wa kutifuana tu?
iko hivibmwanamke ndio alimpigia mwanaume njoo mwanza unitembelee, mwanamke alikuwa anakaa peke yake licha ya kuwa na mimba, frans alifika asubuhi ya siku inayofuata maana mabus hulala njiani,, ndio akafikia nyumbani kwa mpenz wake akamkuta na mimba, sasa asubuhi ile wakati wanabishana yule msichana akatoka akaenda kumwambia yule jamaa aliyempa mimba kuwa frans amekuja kutoka dar lakini tunapishana kauli, jamaa akachukua wenzie watatu jumla wannne wakaenda nyumbani kwa mwanamke, wakamkuta frans kalala kwenye kochi ndipo walipoanza kumporomoshea kichapo hadi akapatwa na mauti
 
Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990.

Huyu kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili nikutana nae mtaani.

Juzi nilipata habari kuwa kijana mmoja kutoka maeneo ya mtaani kwetu ameuawa huko Mwanza alipoenda kumtebelea mchumba wake huko Mwanza akitokea Dar Es Salaam lakni kwa bahati mbaya alimkuta mchumba akiwa na mwanaume mwingine chumbani, Inasemekana huyo mwanaume aliyemkuta chumbani akiwa na mchumba wake ni askari kwahiyo mapambano yalianza ambapo mwanamke alikimbia na kuacha wanaume wakipigana.

Mwanamke aliporudi alikuta Francis Ngolle tayari amepoteza maisha ,Sasa haijulikani alipewa kipigo cha aina gani mpaka kusababisha kupoteza uhai .

Lakini cha kusikitisha sana mchumba wa Francis Ngolle mimi binafsi mfahamu sana na mara nyingi tumewahi kukutana kwenye kikundi chetu cha dini cha {VIWAWA] enzi hizo kabla ya huyu dada ajaenda kikazi mwanza lakini sikujua kabisa kama wana uchumba na FRANCIS NGOLLE.

Lakini cha kusikitisha zaidi Francis Ngolle na huyu mchumba wake hapa dar Es Salaam wanaishi karibu sana siyo mbali sana kwa lugha nyingine wanaishi karibu na mimi pia .

Francis Ngolle alikuwa tayari amejitamburisha kwa wazazi wa mchumba wake kwahiyo wazazi wa pande zote mbilli walikuwa wanatambua pia.

Kinachotia simanzi zaidi wazazi Francis Ngolle na Mchumba wake hapa Dar es Salaam wanaishi karibu,wanasali kanisa moja.

Francis Ngolle bila kujua kama anaenda kupoteza maisha anafunga safari kwenda kwa mchumba wake huko mwanza lakini anakuta mchumba wake ana bwana mwingine chumbani ,Mapambano yanaanza na mwisho wa siku anapoteza maisha.

Muda huu nimetoka msibani hakika ni majonzi makubwa sana nimejaribu kuangalia maiti yake wakati nikitoa heshima za mwisho inaonekana alipigwa sana,Utafikiri ni mtu aliyepata ajali mbaya.

R.I.P Francis Ngolle

-mikononyuma-



Ipi ni ipi?


iko hivibmwanamke ndio alimpigia mwanaume njoo mwanza unitembelee, mwanamke alikuwa anakaa peke yake licha ya kuwa na mimba, frans alifika asubuhi ya siku inayofuata maana mabus hulala njiani,, ndio akafikia nyumbani kwa mpenz wake akamkuta na mimba, sasa asubuhi ile wakati wanabishana yule msichana akatoka akaenda kumwambia yule jamaa aliyempa mimba kuwa frans amekuja kutoka dar lakini tunapishana kauli, jamaa akachukua wenzie watatu jumla wannne wakaenda nyumbani kwa mwanamke, wakamkuta frans kalala kwenye kochi ndipo walipoanza kumporomoshea kichapo hadi akapatwa na mauti
 
So sad, kweli kila MTU amepangiwa aina ya kifo chake atakachokufa,wapo watakaokufa kwa ajal,ugonjwa,moto,kuuawa,ghafla,watajinyonga,wengine watakufa kwa sabab ya mapenz pia,ee Mungu tupe mwisho mwema
 
Back
Top Bottom