falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
achana nae huyoNgolle Ndiye Mwenye Mke Sasa Ashtakiwe Nini Au Hujaelewa Habari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
achana nae huyoNgolle Ndiye Mwenye Mke Sasa Ashtakiwe Nini Au Hujaelewa Habari
Yaani Huyu Dada Kwanini Hakumuambia Mtu Wa Watu Mapema Kama Hamtaki So Sad Kwa Kweli
of course K ni KPumzika kwa amani, jamani K acheni iitwe K
Ina uma sana kijana amepoteza maisha ghafla
Akisepa,kwa mwanamke mwenye tabia za ujanjaujanja kama ww rubi utapata nafasi ya kuendelea kuwadanganya kutokana na tamaa za mwili na lambda kipato.chamsingi tunakaa pamoja kama wanaume na kwasababu umetudanganya tunakucharaza viko hadharani ili iwe Fundisho kwa wengine.
Jamaa unaongea ukweli sana.Huyu jamaa atakua alikua anajua kuwa anamegewa alikua anaenda kuhakikisha ila labda hakuhisi kwamba unaweza kufumania mnyama
Ha Ha Zantelhuenda alitaka kula huku na huku(twanga kotekote)
kaka yake anaitwa FrankAna kaka yake anaitwa Tom ngolle yuko madini dom au ni majina tu yamefanana naomba kujuzwa
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Ushauri kuntu.Naam Dada
Skia bana ifike mahali wanaume tusiaibishe uanaume wetu,wnaposema roho ya kiume wanamana kubeba mambo magumu,ifike mahali hii tabia ya kupigania mapenzi tuwaachie watoto,
Wapo watu wanawakuta wake zao walio zaa nao na kuwekeza mambo kibao wanachepukwa na mtu hapigani wala kuzozana anaongea kiutu uzima halafu anachukua mamuzi mengine,kupigana unajaza watu bure,halafu nguvu zenyewe zipo wapi zama hizi za chips kuku,
Onesha uanaume kwa kubeba mambo magumu,
Na ndo maana tunasema watoto tuachieni vichwa ngumu mapenzi,nyie tulieni nyumbani,maana mapenzi ya zama hizi ni pasua kichwa,asilimia kumi utamu asilimia tisini machungu,
Mtauawa bure,
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Yap ni Kof course K ni K
[emoji23] [emoji23]Hujatembea ukakutana na K mnato wewe.
K inakukaribisha kabla hujapiga hodi.
K ina vikolombwezo kibao
K inanukia alhudi, mjahidulu, mnatonato....
K inanawiwa shabu, inapanguswa kwa ufusho wa uturi waridi.
K inakuchekea
K imenona
K ina futa moja matata sana
Acha tu K iitwe K.
Ndio maana wanaume mnauana
Lakin kwa maelezo mtoa taarifa ,huyo jamaa kaenda kumtembelea mchumba wake aliehamia huko kikazi,hebu jiulize kaacha michaluko yoote ya dar,anapoteza nauliyake kubuubwa kumbe anaemfuata ni Malaya.hata Mimi inaniuma sana hii.Dawa ni kuacha uzinzi.
Hivi kisheria mwanamke anaweza kushtakiwa?[emoji23] [emoji23]
Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Surprise haifai kabisa, hata kama ni mke wa ndoa, umesafiri ukamwacha nyumbani huku akijua kuwa utakaa siku tano lakini baada ya siku mbili unaahirisha na kurudi nyumbani, inatakiwa utoe taarifa mapema tena masaa ya kutosha, la sivyo eidha uue au uuliwe.Hata angekuwa mkeo taarifa mhimu utakuja kufa kwa presha r.i.p Francis Ngolle japo kifo umejitakia
Lakin kwa maelezo mtoa taarifa ,huyo jamaa kaenda kumtembelea mchumba wake aliehamia huko kikazi,hebu jiulize kaacha michaluko yoote ya dar,anapoteza nauliyake kubuubwa kumbe anaemfuata ni Malaya.hata Mimi inaniuma sana hii.
Uzuri wa mtu uko ndani ya macho ya mtazamaji.Lakin kwa maelezo mtoa taarifa ,huyo jamaa kaenda kumtembelea mchumba wake aliehamia huko kikazi,hebu jiulize kaacha michaluko yoote ya dar,anapoteza nauliyake kubuubwa kumbe anaemfuata ni Malaya.hata Mimi inaniuma sana hii.