Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Hapa kuna la kujifunza,
1:usifanye mapenzi km kitu kikuuuubwa cha kujidai unpeeeeenda,inabidi tuishi kimapenzi km mbuzi vile,yani tuchukulie poa,ili ikitikea unamkuta mtu isikuume
2:hapana haja ya kupigana,hasa nyie vijana wa dar wazee wa chips kuku,unaanzaje kupigana wakati kupigana haujui?,ukivimbisha kakifua na tumbo kwa manyama uzembe unajiona unaweza kupigana,kupigana zama hizi ni ujuzi,sanaa na mbinu,
Sasa mtoto wa mama hauna ujuzi unajidai kukunja ngumi,
3:ifike mahali wanaume tuwe na roho za kiume,wanaume wengi suruali tu,uanaume ni spirit na moyo mpana,wanaita kifua cha kubeba magumu,
Umekuta hawara ama mkeo anafanya uzinifu chukulia poa achana nao kiroho safi,Fanya maamuzi mengine kumuacha ama kusamehe,tuache wivu wa kitoto,maana mwenza akichepuka hajabakwa lazima kuna sababu,sasa badala ya kushugulika na sababu unahangaika na mtu?
Na la zaidi watoto wadogo acheni ngono Hanna vifua vya kubeba changamoto,
Lkn kubwa zaidi tufute neno mpenzi vichwani,tuweke neno kwichi na kuzaa

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hiki kifo kimeniuma sana, kijana na degree yake ya miamba, anaondoka bado mdogo kabisa, katika maisha emotinal intelligence ni kitu cha muhimu sana, ingawa ni ngumu pale angewakuta na akageuza zake na kuja tulia then angetafuta mwanamke mwingine. Yaani angejiambia it is not the end of the world, time heals, Life must go on no matter what.
 
Sorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.

Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app
Siyo kisa k,upendo ,na siyo kujamiana kupenda ni ugonjwa mkubwa sana yalinikuta kama hayo ,ilibaki kdogo nimue MTU,toka hapo cjawahi penda mwanamke, japo Nina Mke nmeshamwambia sikupendi ila nitalidhika na heshima utakayonipa,kupenda kubaya sana pole sana marehemu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
So sad

Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
 
pole sana wafiwa and R I P kijana mwngine tena kachomoka daa

Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
 
Ukiona mwanamke wako ana mahusiano na mwanaume mwingine ni dalili ya kwamba amekudharau, ni kumuacha aendelee tu na wewe kuangalia ustaarabu wako. Kupigana na mwanaume mwenzako kwa ajili ya mwanamke anayekudharau ni upuuzi.
Umeongea jambo limenikaa

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Ana kaka yake anaitwa Tom ngolle yuko madini dom au ni majina tu yamefanana naomba kujuzwa

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Itakuwa wana undugu,kuna mchangiaji amesema huyu Fransis alihitimu degree ya Geology 2014 UDSM. Sasa hapo unaweza connect dots. Watu wanasoma kwa malengo.

senty from my Iphone 7 using jamii forum app
 
Hapa kuna la kujifunza,
1:usifanye mapenzi km kitu kikuuuubwa cha kujidai unpeeeeenda,inabidi tuishi kimapenzi km mbuzi vile,yani tuchukulie poa,ili ikitikea unamkuta mtu isikuume
2:hapana haja ya kupigana,hasa nyie vijana wa dar wazee wa chips kuku,unaanzaje kupigana wakati kupigana haujui?,ukivimbisha kakifua na tumbo kwa manyama uzembe unajiona unaweza kupigana,kupigana zama hizi ni ujuzi,sanaa na mbinu,
Sasa mtoto wa mama hauna ujuzi unajidai kukunja ngumi,
3:ifike mahali wanaume tuwe na roho za kiume,wanaume wengi suruali tu,uanaume ni spirit na moyo mpana,wanaita kifua cha kubeba magumu,
Umekuta hawara ama mkeo anafanya uzinifu chukulia poa achana nao kiroho safi,Fanya maamuzi mengine kumuacha ama kusamehe,tuache wivu wa kitoto,maana mwenza akichepuka hajabakwa lazima kuna sababu,sasa badala ya kushugulika na sababu unahangaika na mtu?
Na la zaidi watoto wadogo acheni ngono Hanna vifua vya kubeba changamoto,
Lkn kubwa zaidi tufute neno mpenzi vichwani,tuweke neno kwichi na kuzaa

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
"Kwichi na kuzaa",
I see a point here.


Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
 
so sad!vip huyo dada alihudhuria msibani!hapana kwakweli YESU arudi tu
R.I.P Francis Ngolle,tulikupenda,Mungu kakupenda zaidi.Bwana Yesu muache apumzike kwanza huko aliko,kesi zenyewe ndio hizi tunazo mkwaza kila siku.

Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
 
Pengina hakujitakia, kama hakujua, keshaenda kwa wazazi, anaenda, anamkuta askari, anaanza kupigwa yeye, amejitakiaje mkuu?
Hawezi kuanza kupigwa tu hivi hivi lazima alitunisha ubavu either wa ngumi ama ubavu wa mdomo,hebu chukulia km angechukulia poa na kutoongea kitu,akatoka zake na kusepa,ama hata tu kumpa taarifa huyo mwanaume alomkuta kuwa huyu ni mchumba wake na kwa kuwa imekuwa hivo awaachie na yao,undhani wangepigana,wanaume huwa tunauelewa sana na huwa tunafanya mambo kiume hata yawe magumu,


Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kukuta msichana mwenyewe kimeo hadi sura. Da!
 
Huyu jamaa atakua alikua anajua kuwa anamegewa alikua anaenda kuhakikisha ila labda hakuhisi kwamba unaweza kufumania mnyama
 
Back
Top Bottom