Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umpige marehemu bakora?~~>>>>Ni utandawazi wa kijinga kwa wazazi kuhalalisha ngono wa watoto wao kwa kisingizio cha "kutambulishana"...
Huo kijana amekufa na kizembe na anahitaji bakora kwa kosa la kupigania mapenzi.......
Yup....that's him.
Been to there house/ flat plenty of times.
Nakumbuka mshua wao alikuwa na ki Beetle...VW.
Yesu arudi kufanyanini wakati bado hujatubu?so sad!vip huyo dada alihudhuria msibani!hapana kwakweli YESU arudi tu
Wacha wee, I wish.Hujatembea ukakutana na K mnato wewe.
K inakukaribisha kabla hujapiga hodi.
K ina vikolombwezo kibao
K inanukia alhudi, mjahidulu, mnatonato....
K inanawiwa shabu, inapanguswa kwa ufusho wa uturi waridi.
K inakuchekea
K imenona
K ina futa moja matata sana
Acha tu K iitwe K.
Ndio maana wanaume mnauana
Mbona huja mtagSure love
Mapenzi yana nguvu sana alichokifanya jamaa kilitokana na mazingira aliyoyakuta. Kulihitajika uvumilivu ila mapenzi yanauma sana acha tu. Cha maana hapa angepiga simu kabla kuwa yuko njiani angeepusha mengi sana. Inaonekana alikuwa anahisi kitu na alipokikuta kuwa ni kweli alipaniki ndio ikaleta yote hayo. Tumuombee tu apumzike kwa amanisi angewaacha tu ye akarudi dar...wanawake wapo wengi!
pole yake.
Hahahaa.....hivi hiyi mada iko jukwaa gani!??aisee!! kuna mada inaongelea katika watu 10 binadam halisi ni 2 tu wengine ni majini na wachawi, nadhani uyo dada na uyo bwana ake njagu wako ktk kundi la majini na wachawi
Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
af sijacheki ni jukwaa gani ila kwenye search andika "Kati ya binadamu 10 wa5 ni wachawi, wa3 majini na wawili ndo binadamu wa kawaida" hopely utaipataHahahaa.....hivi hiyi mada iko jukwaa gani!??