Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

bye ngole
 

Attachments

  • IMG-20170713-WA0080.jpg
    IMG-20170713-WA0080.jpg
    21.4 KB · Views: 34
~~>>>>Ni utandawazi wa kijinga kwa wazazi kuhalalisha ngono wa watoto wao kwa kisingizio cha "kutambulishana"...

Huo kijana amekufa na kizembe na anahitaji bakora kwa kosa la kupigania mapenzi.......
Umpige marehemu bakora?
 
Hujatembea ukakutana na K mnato wewe.
K inakukaribisha kabla hujapiga hodi.
K ina vikolombwezo kibao
K inanukia alhudi, mjahidulu, mnatonato....
K inanawiwa shabu, inapanguswa kwa ufusho wa uturi waridi.
K inakuchekea
K imenona
K ina futa moja matata sana
Acha tu K iitwe K.

Ndio maana wanaume mnauana
Wacha wee, I wish.

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa ataenda kujilaumu sana kafa kifo cha kizembe sana....

Bora angejitolea kwenda kuwa mwenyekiti wa mtaa huko Kibiti, apigwe risasi ya kichwa, kuliko hicho kifo alicho kufa...

R.I.P
 
si angewaacha tu ye akarudi dar...wanawake wapo wengi!
pole yake.
Mapenzi yana nguvu sana alichokifanya jamaa kilitokana na mazingira aliyoyakuta. Kulihitajika uvumilivu ila mapenzi yanauma sana acha tu. Cha maana hapa angepiga simu kabla kuwa yuko njiani angeepusha mengi sana. Inaonekana alikuwa anahisi kitu na alipokikuta kuwa ni kweli alipaniki ndio ikaleta yote hayo. Tumuombee tu apumzike kwa amani
 
Huu msiba umenigusa sana sio siri marehemu Francis ngolle nimekutana nae siku moja Dodoma. Nakumbuka siku nilionana nae nilikua na jamaa zangu ambao ni wanajeshi maana na yeye ni mwanajeshi.siku hyo jamaa zangu na yeye walikuja kunipa sapoti ya bday ya Mtoto. Tulitoka wote Mimi familia Yng,marafiki zangu na yeye tukaenda kupiga Picha studio za ukumbusho ambapo baadhi ya Picha nimebandika ukutani kama ukumbusho maana jamaa zangu walikuja kunipa company na yeye sema za ukweli ilikua siku ya furaha sana.baada ya kumaliza Picha na mtoko tulienda kutembelea Ndugu zangu waliokuwepo Dodoma akiwemo mama yangu mzazi na baadhi ya Ndugu zangu.inasikitisha sana tena sana.apumzike kwa amani.poleni wafiwa wote hasa familia yake

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Angempigia simu ili aandaliwe zamu yake sio kwenda ghafla

Sent from my TECNO-L8Plus using JamiiForums mobile app
 
Ukifumania uwe na nguvu au Mbio..sasa Marehemu Ngolle yeye alikua na mapenzi tu..

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Duuuh,bora kumuacha aende kuliko kutaka kupambana matokeo yake unatia hasara familia ye anadunda

Sent from my Lenovo A5600 using JamiiForums mobile app
 
Ilishawahi niuma siku moja mpz wangu kasex na shemej ake yaan mme wa dadake nikagundua na nikambana akanambia alilazimishwa nilitaman nikamzingue yule jamaa ila sasa ni mkubwa kuliko mm mara nikiwaza na mm nimtongoze dad ake ambaye ni wife wa huyo jmaa ila ni mtu mzima ama hakika niliumia sanaa aisee ila nashukuru mungu nilipona maumivu na mwanamke nimeachana nae sahv naomba tuu dawa ya ukimwi ipatikane maana akil yangu hairidhik na mwanamke 1 inaogopa kuumizwa

Sent from my GT-I9082 using JamiiForums mobile app
 
aisee!! kuna mada inaongelea katika watu 10 binadam halisi ni 2 tu wengine ni majini na wachawi, nadhani uyo dada na uyo bwana ake njagu wako ktk kundi la majini na wachawi

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
aisee!! kuna mada inaongelea katika watu 10 binadam halisi ni 2 tu wengine ni majini na wachawi, nadhani uyo dada na uyo bwana ake njagu wako ktk kundi la majini na wachawi

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
Hahahaa.....hivi hiyi mada iko jukwaa gani!??
 
Hahahaa.....hivi hiyi mada iko jukwaa gani!??
af sijacheki ni jukwaa gani ila kwenye search andika "Kati ya binadamu 10 wa5 ni wachawi, wa3 majini na wawili ndo binadamu wa kawaida" hopely utaipata
 
Back
Top Bottom