Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Sorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.

Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app
Mkuu unaweza usiwe tayar kupigana ila ndio umenaswa juu ya mke/demu/mchumba wa mtu...kukimbia huwez ndio kichapo unapata

Sent from my GT-I9105P using JamiiForums mobile app
 
Sorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.

Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app
Mkuu unaweza usiwe tayar kupigana ila ndio umenaswa juu ya mke/demu/mchumba wa mtu...kukimbia huwez ndio kichapo unapata

Sent from my GT-I9105P using JamiiForums mobile app
 
~~>>>>Ni utandawazi wa kijinga kwa wazazi kuhalalisha ngono wa watoto wao kwa kisingizio cha "kutambulishana"...

Huo kijana amekufa na kizembe na anahitaji bakora kwa kosa la kupigania mapenzi.......
 
R.I.P Shemeji yangu
Kiukweli inauma sana
Huyu nishemeji yangu kabisa mm nimeoa Dada yake

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Kwa hyo hii habari ni kweli?? Da poleni sana kwa msiba uliowafika

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
duuu, wakuu mbona lawana tena kwa marehemu kisa kaenda bila taarifa. ni mchumba wake na ameshajitambulisha huku akiamini mpenzi wake ni muadirifu na mtiifu kwenye mahusiano kumbe paka tu.

tatizo ni ukosefu wa uaminifu, we unajua ni mchumba wa mtu bado unahangaika na bwana afande (niko nao moto hawa watu)
 
Katika moja Kati ya vitu vinavyoturudisha Sana Nyuma wanaume ni K, especially Kwa wanaume ambao kwa asili Yao hawawezi kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja.

Tunawahi Sana kujicommit Kwa Hawa viumbe, gharama nyingi tunaingia hata kabla hatujahalalishwa, inapotokea usaliti, hasira zinazidi Busara, liwalo na liwe matokeo yake unaua ama kupoteza maisha bila kutegemea.

Mimi ni mwanaume, siwezi kumtukana Marehemu zaidi ya kumuombea Apumzike Salama.

Mapenzi yana ladh zote, Tamu na Chungu. It is only time that will make you realize the difference.

Ukiwa kicheche utakufa Kwa maradhi, Ukiwa nae mmoja utakufa Kwa Presha, ama hivyo kupigwa. Nyeto hatari Kwa Afya! Dah!!! [emoji17] Kikichobaki ni kuomba Mungu tuu, akuonyeshe njia ukipasayo kupita, ili uweze Ku enjoy Pumzi ulobarikiwa nayo.

RIP Man. Njia ndio hiyo hiyo. Wote tutaipita Kwa sababu zetu

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Hatari sana

sent from my BlackBerry keyone using JamiiForums mobile app
 
Ni tukio baya linalojenga masikitiko yaliyosababishwa na vitu viwili kimoja kikiwa ni kikubwa zaidi ya kingine. Kidogo ni kwamba "hivi kwa nini huyu binti hakuwa muwazi ili kuepusha umauti wa Frances". Kubwa ni kwamba "kwanini marehemu (Frances) amejitakia kifo kisichokuwa na ulazima...yaani unamfumania mchumba wako na mwanaume mwingine alafu unaanzisha mapigano, ni heri angekuwa mkewe lakini mchumba...".
 
R.I.P

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu stori kama hii iliwahi kunitokea ambapo katika safari zangu nilipitia kwa mchumbaangu bila kumpa taarifa nilipofika alikuwa na wasiwasi sana kama an a hang any I miss nikaingia room kwake ilikuwa single nikamkuta msela kakaa kitandani bukta na singland Nguo nyingine katundika kwenye enga ukutani nami nilikaa kitandani sikuonyesha kama ninamahusiano nae ya kimapenzi kwa kujizuia nikapewa na juice nikanywa na jamaa nae akanywa baadaye nikaaga ndipo mambo yakaanza kuwa magumu pale nilikuwa nasindikizwa mpaka nilipopaki Gari mshikaji kakaa dirishani demu anajarubu kuniibia kwa uongo akaingia kwenye Gari hataki kushuka ili niamini uongo wake mshikaji katoka nje nikamtoa kwa nguvu nikatembea na nikammwaga mazima kwani hats chumba nilikuwa nalipia mm. Hivyo nilichukulia kawaida nikashinda hasira hawa viumbe ni hatari.

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
R.I.P Shemeji yangu
Kiukweli inauma sana
Huyu nishemeji yangu kabisa mm nimeoa Dada yake

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Pole sana.

Huyu ana undugu na kina Nico Ngole waliokuwa wanakaamaflat ya Drive In Cinema Dar ?

Au Ngole mwingine?
 
Samahani kwa baadhi ya maneno lakini najua unaweza elewa namaanisha nini kwa lengo la kujifunza

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Niligundua mapema kuwa mazingira niliyopo ni ya hatari maana sikuwa nimejiandaa au kujua lolote hivyo jamaa angeweza kunidhuru anavyoweza hata kuniua namshukuru sana Mungu kwa kuniepusha siku ile

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Sorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.

Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app
The anger caught bwana Ngolle without his awareness! And, after all, what's love to you! Ombea yasikukute. Naishia hapo.
 
R.I.P Shemeji yangu
Kiukweli inauma sana
Huyu nishemeji yangu kabisa mm nimeoa Dada yake

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Dads yake yupi huyu ngole ni wa njombe ipi? Kifanya au??

Sent from my SM-N900 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom