Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Mwanaume unatakiwa kumiliki wanawake wengi, akizingua uyu unaenda kwa yule, haya ni matatizo ya kumwangalia mwanamke mmoja kama roho lazima ufe tu kama cio presha bac kuuawa kama ivi wanaume malaya hayawakuti haya.

Sent from my C6902 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa aliuwawa alipomfika Mwanza alimkuta mchumba ake yupo na sakali polisi... Baada ya kuona hayo wanaume hao wawili wakaanza kupigana, na ndipo mwanamke akaamua kukimbia na kuacha ngumi zikiendelea... Polisi akazidiwa akaamua kuita polisi wenzie wawili na ndipo wakampiga hadi kumuua...

Inasemekana wakaamua kumning'iniza kama vile kajinnyonga.... Lakini kwenye 'POSTMOTAM' ikaonekana hakujinyoka... Askali na mwanamke wamekamatwa...

Mwanamke alikuwa HR huko ngudu...

Na kwa bahati mbaya mama mzazi wa mwanamke huko kitaa kwao alikuwa anatamba sana kuwa katika kitaa hicho yeye peke ndo anajuwa kulea watoto kwenye maadili kuliko wengine.... WAZAZI WA MWANAMKE WAMEENDA MWANZA KUANGALIA NAMNA YA KUSHUGHURIKA NA HILI
 
Kwanza mwanamke ambaye mmekutana naye ukubwani unaendeje kwake bila kumtaharifu!
Hiyo kitu siwez fanya hata siku moja!

Poleni kwa msiba.
Funzo kwa walio hai. Tangulia Francis

Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
 
Apumzike panapostahili....

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Sorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.

Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app
Hili nilishaliapia miaka mingi iliyopita.....

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Yani mimi mwanamke akinizingua saivi ndio nafurahia, Babu kuna visu vikali hatari...! Unaeza ukaona demu ukasema hivi huyu kashushwa au vipi??! Akizingua dem unatafuta kisu kingne mbona wapo wengi sana



Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
R.I.p franciss

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Unapigania mwanamke upo karne gani ,.. Aseeh, baada ya wanawake wakupiganie wewe daah anyway R. I. P Francis Ngolle
Nina muda mrefu sana sijaona jogoo wakipigania kuku jike
Hata jogoo walishaacha kupigania mapenzi baada ya kugundua kuku majike ni weeeengi
Daladala ikikupita kituoni usiikimbilie
Subiri nyingine na ukiona daladala zinakuzingua panda bajaji,mwendokasi,bodaboda,tax,uber,treni...
Usafiri mwiiiiiiiingi
Pressure ya nini?

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
 
R.I.P Shemeji yangu
Kiukweli inauma sana
Huyu nishemeji yangu kabisa mm nimeoa Dada yake

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
afu kingne alipigwa na askari wa aina gani je? Kuna hatua zozote za kisheria zimechukuliwa ningependa kujua hayo ndugu.

acha uongo
 
....Tumekusikia hapa, je umekwenda polisi kutoa taarifa ili sheria ichukue mkondo wake na haki itendeke au ndo umekimbilia huku tuu?
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Umetishaa sana mazee!!
 
Nakumbuka hata mimi mwalimu wangu wa uchumi aliwahi kuniambia "women are like matatuu, if you miss this one hold on you will get another" yaani alimaanisha kuwa wanawake ni kama daladala ukiikosa hii usiangaike kuwa mvumilivu tu utapata nyingine na hatimae utaisahau iliyokupita mwanzo!

Kweli mkuu hizi mambo za kupigana kisa sijui mapenzi ni mambo ya kale kabisa! Alichoshindwa huyo marehemu ni Ku deal na emotions zake tu. Hapakuwepo hata na haja ya malumbano.

R.I.P marehemu
 
wazee zamani wakati wanarudi nyumbani wakiwa mbali walikuwa wanakohoa kohoa ili kama kuna mwizi akimbie

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Reactions: SDG
wazee zamani wakati wanarudi nyumbani wakiwa mbali walikuwa wanakohoa kohoa ili kama kuna mwizi akimbie

Post sent using JamiiForums mobile app
Kama kuna mtoto anapewa koti au mzgo autangulize hom

May Allah bless Me and You
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…