Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inahudhunisha kwa kweli,pole sana wafiwa

Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
 
Poleni sana wafiwa

Tuliobaki tunajifunza nini kwenye ili: Inabidi kama unaenda sehemu uwe unatoa taarifa kabla maana inaonyesha jamaa kama alienda kwa surprise bila kumtaarifu mchumba wake na mwisho wake amekutana na alichokikuta.

Wazee wetu zamani walikuwa wakirudi nyumbani toka safari (Enzi hizo simu hamna) walikuwa wanawapa vijana mizigo wapeleke nyumbani huku wao wakinyuti vijiwe vya kahawa kupoteza muda ili kuepusha mafumanizi kama haya.
 
rip roommate wangu ,niliacha shughuli zangu zote tangu siku ya kwanza ulipofariki nikafunga safari hadi mbagala kisimani kwa daud, juzi usiku nilikwenda airport kuupokea mwili wako toka mwanza jana nimekudress mwili wako pale temeke hospitali ,nashindwa hata kuendelea...... ila jaman kwanini sababu ya kifochake inapotoshwa potoshwa sana jamani roho inaniuma sana
 

Attachments

  • IMG_20170712_152229.jpg
    196.3 KB · Views: 72
daah wanawake wametofautiana kuna wawerevu na mashetani huyo dada atakuwa shetani na nafsi ya marehemu itamtesa kwakuwa amekufa na dukuduku


sure ! hatakaa salama tena maishan mwake damu itamlilia had anaingia kaburini! kuna watu jaman wana roho kavuu!
 
Ana kaka yake anaitwa Tom ngolle yuko madini dom au ni majina tu yamefanana naomba kujuzwa

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Sorry, lakini lazima niseme tu ukweli... kupigana kisa k.. ni ushamba.

Sent from my SM-T355 using JamiiForums mobile app
Ushamba mkubwa mno mno kwani ungeweza muao pia akapiga nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…