Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Inauma sana; Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990

Ndio maana mimi huwa napenda sana kuwahusia wavulana 'vijana wa kiume' kuwa, mwanamke uliyenaye sasa alishawahi kuwa na mtu kabla...au kwa lugha zao ni kuwa 'demu wako wa sasa ni ex wa mtu mwingine'...

Huwa hakuna guarantee ya mwanamke umuitaye demu, mchumba na wote wenye vyeo vya namna hiyo kwamba asikusaliti...

Kama aliweza kumuacha mwanaume mwingine kabla yako, ndivyo hivyo hivyo nawe waweza achika...

Kitendo cha kumkuta na mwanaume mwingine, lilikuwa ni jibu tosha la wao kuachana lakini sasa ujinga wa kutaka kuonesha misuli ndio umemponza...


Upumbavu wake!
Vifo vingine vya kujitakia.
Unapigana kisa K??
Tena K isiyo ya mkeo halali
Alazwe mahali anapostahili.Amen!
 
Anaandika Respicius Francis
________________________________________

Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990.

[HASHTAG]#Huyu[/HASHTAG] kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili nikutana nae mtaani.

[HASHTAG]#Juzi[/HASHTAG] nilipata habari kuwa kijana mmoja kutoka maeneo ya mtaani kwetu ameuawa huko Mwanza alipoenda kumtembelea mchumba wake huko Mwanza akitokea Dar Es Salaam lakni kwa bahati mbaya alimkuta mchumba akiwa na mwanaume mwingine chumbani, Inasemekana huyo mwanaume aliyemkuta chumbani akiwa na mchumba wake ni askari kwahiyo mapambano yalianza ambapo mwanamke alikimbia na kuacha wanaume wakipigana.

[HASHTAG]#Mwanamke[/HASHTAG] aliporudi alikuta Francis Ngolle tayari amepoteza maisha ,Sasa haijulikani alipewa kipigo cha aina gani mpaka kusababisha kupoteza uhai.

[HASHTAG]#Lakini[/HASHTAG] cha kusikitisha sana mchumba wa Francis Ngolle mimi binafsi mfahamu sana na mara nyingi tumewahi kukutana kwenye kikundi chetu cha dini cha {VIWAWA] enzi hizo kabla ya huyu dada ajaenda kikazi mwanza lakini sikujua kabisa kama wana uchumba na FRANCIS NGOLLE

[HASHTAG]#Lakini[/HASHTAG] cha kusikitisha zaidi Francis Ngolle na huyu mchumba wake hapa dar Es Salaam wanaishi karibu sana siyo mbali sana kwa lugha nyingine wanaishi karibu na mimi pia.

[HASHTAG]#Francis[/HASHTAG] Ngolle alikuwa tayari amejitamburisha kwa wazazi wa mchumba wake kwahiyo wazazi wa pande zote mbilli walikuwa wanatambua pia.

[HASHTAG]#Kinachotia[/HASHTAG] simanzi zaidi wazazi Francis Ngolle na Mchumba wake hapa Dar es Salaam wanasali kanisa moja##

[HASHTAG]#Francis[/HASHTAG] Ngolle bila kujua kama anaenda kupoteza maisha anafunga safari kwenda kwa mchumba wake huko mwanza lakini anakuta mchumba wake ana bwana mwingine chumbani ,Mapambano yanaanza na mwisho wa siku anapoteza maisha.

[HASHTAG]#Muda[/HASHTAG] huu nimetoka msibani hakika ni majonzi makubwa sana nimejaribu kuangalia maiti yake wakati nikitoa heshima za mwisho inaonekana alipigwa sana ,Utafikiri ni mtu aliyepata ajali mbaya.

R.I.P Francis NgolleView attachment 540970
Wahenga wanasema usimseme vibaya marehemu, lakini huyu jamaa alikuwa fala sana. Amewatia hasara na huzuni wazazi wake.
 
Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990.

Huyu kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili nikutana nae mtaani.

Juzi nilipata habari kuwa kijana mmoja kutoka maeneo ya mtaani kwetu ameuawa huko Mwanza alipoenda kumtebelea mchumba wake huko Mwanza akitokea Dar Es Salaam lakni kwa bahati mbaya alimkuta mchumba akiwa na mwanaume mwingine chumbani, Inasemekana huyo mwanaume aliyemkuta chumbani akiwa na mchumba wake ni askari kwahiyo mapambano yalianza ambapo mwanamke alikimbia na kuacha wanaume wakipigana.

Mwanamke aliporudi alikuta Francis Ngolle tayari amepoteza maisha ,Sasa haijulikani alipewa kipigo cha aina gani mpaka kusababisha kupoteza uhai .

Lakini cha kusikitisha sana mchumba wa Francis Ngolle mimi binafsi mfahamu sana na mara nyingi tumewahi kukutana kwenye kikundi chetu cha dini cha {VIWAWA] enzi hizo kabla ya huyu dada ajaenda kikazi mwanza lakini sikujua kabisa kama wana uchumba na FRANCIS NGOLLE.

Lakini cha kusikitisha zaidi Francis Ngolle na huyu mchumba wake hapa dar Es Salaam wanaishi karibu sana siyo mbali sana kwa lugha nyingine wanaishi karibu na mimi pia .

Francis Ngolle alikuwa tayari amejitamburisha kwa wazazi wa mchumba wake kwahiyo wazazi wa pande zote mbilli walikuwa wanatambua pia.

Kinachotia simanzi zaidi wazazi Francis Ngolle na Mchumba wake hapa Dar es Salaam wanaishi karibu,wanasali kanisa moja.

Francis Ngolle bila kujua kama anaenda kupoteza maisha anafunga safari kwenda kwa mchumba wake huko mwanza lakini anakuta mchumba wake ana bwana mwingine chumbani ,Mapambano yanaanza na mwisho wa siku anapoteza maisha.

Muda huu nimetoka msibani hakika ni majonzi makubwa sana nimejaribu kuangalia maiti yake wakati nikitoa heshima za mwisho inaonekana alipigwa sana,Utafikiri ni mtu aliyepata ajali mbaya.

R.I.P Francis Ngolle

-mikononyuma-
Rip
 
iko hivibmwanamke ndio alimpigia mwanaume njoo mwanza unitembelee, mwanamke alikuwa anakaa peke yake licha ya kuwa na mimba, frans alifika asubuhi ya siku inayofuata maana mabus hulala njiani,, ndio akafikia nyumbani kwa mpenz wake akamkuta na mimba, sasa asubuhi ile wakati wanabishana yule msichana akatoka akaenda kumwambia yule jamaa aliyempa mimba kuwa frans amekuja kutoka dar lakini tunapishana kauli, jamaa akachukua wenzie watatu jumla wannne wakaenda nyumbani kwa mwanamke, wakamkuta frans kalala kwenye kochi ndipo walipoanza kumporomoshea kichapo hadi akapatwa na mauti
Aiseee, naomba kujua hatma ya huyu mwanamke ilikuaje?? nini kinaendelea juu yake?? daaaah nmeumia saana. nilikua najua ngole amefariki, niliona FB, Ila sikujua sababu iliyoleta mauti. na sikuweza hudhuria msiba sababu nilikua mbali saana. me nikawa nahisi huenda mati ilimkuta kwenye harakati za maisha. RIP Ngole, homebwoy.
 
Aiseee, naomba kujua hatma ya huyu mwanamke ilikuaje?? nini kinaendelea juu yake?? daaaah nmeumia saana. nilikua najua ngole amefariki, niliona FB, Ila sikujua sababu iliyoleta mauti. na sikuweza hudhuria msiba sababu nilikua mbali saana. me nikawa nahisi huenda mati ilimkuta kwenye harakati za maisha. RIP Ngole, homebwoy.
Kwangu mwanamke hana ishu. Muuaji alikamatwa?
 
Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990.

Huyu kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili nikutana nae mtaani.

Juzi nilipata habari kuwa kijana mmoja kutoka maeneo ya mtaani kwetu ameuawa huko Mwanza alipoenda kumtebelea mchumba wake huko Mwanza akitokea Dar Es Salaam lakni kwa bahati mbaya alimkuta mchumba akiwa na mwanaume mwingine chumbani, Inasemekana huyo mwanaume aliyemkuta chumbani akiwa na mchumba wake ni askari kwahiyo mapambano yalianza ambapo mwanamke alikimbia na kuacha wanaume wakipigana.

Mwanamke aliporudi alikuta Francis Ngolle tayari amepoteza maisha ,Sasa haijulikani alipewa kipigo cha aina gani mpaka kusababisha kupoteza uhai .

Lakini cha kusikitisha sana mchumba wa Francis Ngolle mimi binafsi mfahamu sana na mara nyingi tumewahi kukutana kwenye kikundi chetu cha dini cha {VIWAWA] enzi hizo kabla ya huyu dada ajaenda kikazi mwanza lakini sikujua kabisa kama wana uchumba na FRANCIS NGOLLE.

Lakini cha kusikitisha zaidi Francis Ngolle na huyu mchumba wake hapa dar Es Salaam wanaishi karibu sana siyo mbali sana kwa lugha nyingine wanaishi karibu na mimi pia .

Francis Ngolle alikuwa tayari amejitamburisha kwa wazazi wa mchumba wake kwahiyo wazazi wa pande zote mbilli walikuwa wanatambua pia.

Kinachotia simanzi zaidi wazazi Francis Ngolle na Mchumba wake hapa Dar es Salaam wanaishi karibu,wanasali kanisa moja.

Francis Ngolle bila kujua kama anaenda kupoteza maisha anafunga safari kwenda kwa mchumba wake huko mwanza lakini anakuta mchumba wake ana bwana mwingine chumbani ,Mapambano yanaanza na mwisho wa siku anapoteza maisha.

Muda huu nimetoka msibani hakika ni majonzi makubwa sana nimejaribu kuangalia maiti yake wakati nikitoa heshima za mwisho inaonekana alipigwa sana,Utafikiri ni mtu aliyepata ajali mbaya.

R.I.P Francis Ngolle

-mikononyuma-
Pole Mkuu,tuishi nao kwa Akili!
 
Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990.

Huyu kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili nikutana nae mtaani.

Juzi nilipata habari kuwa kijana mmoja kutoka maeneo ya mtaani kwetu ameuawa huko Mwanza alipoenda kumtebelea mchumba wake huko Mwanza akitokea Dar Es Salaam lakni kwa bahati mbaya alimkuta mchumba akiwa na mwanaume mwingine chumbani, Inasemekana huyo mwanaume aliyemkuta chumbani akiwa na mchumba wake ni askari kwahiyo mapambano yalianza ambapo mwanamke alikimbia na kuacha wanaume wakipigana.

Mwanamke aliporudi alikuta Francis Ngolle tayari amepoteza maisha ,Sasa haijulikani alipewa kipigo cha aina gani mpaka kusababisha kupoteza uhai .

Lakini cha kusikitisha sana mchumba wa Francis Ngolle mimi binafsi mfahamu sana na mara nyingi tumewahi kukutana kwenye kikundi chetu cha dini cha {VIWAWA] enzi hizo kabla ya huyu dada ajaenda kikazi mwanza lakini sikujua kabisa kama wana uchumba na FRANCIS NGOLLE.

Lakini cha kusikitisha zaidi Francis Ngolle na huyu mchumba wake hapa dar Es Salaam wanaishi karibu sana siyo mbali sana kwa lugha nyingine wanaishi karibu na mimi pia .

Francis Ngolle alikuwa tayari amejitamburisha kwa wazazi wa mchumba wake kwahiyo wazazi wa pande zote mbilli walikuwa wanatambua pia.

Kinachotia simanzi zaidi wazazi Francis Ngolle na Mchumba wake hapa Dar es Salaam wanaishi karibu,wanasali kanisa moja.

Francis Ngolle bila kujua kama anaenda kupoteza maisha anafunga safari kwenda kwa mchumba wake huko mwanza lakini anakuta mchumba wake ana bwana mwingine chumbani ,Mapambano yanaanza na mwisho wa siku anapoteza maisha.

Muda huu nimetoka msibani hakika ni majonzi makubwa sana nimejaribu kuangalia maiti yake wakati nikitoa heshima za mwisho inaonekana alipigwa sana,Utafikiri ni mtu aliyepata ajali mbaya.

R.I.P Francis Ngolle

-mikononyuma-
POleni. Mimi kuna kitu Mungu alinijalia, na kusema kweli namshukuru Mungu. Maisha yangu yote kila nikidate na mdada alafu nikaona red flag, huwa sipambani. Nasogea zangu pembeni kiroho safi, haijalishi amekula hela zangu kiasi gani. Na nimejiapia hata kama ni mke wangu wa ndoa. Suluhu yangu ni kusepa. Period. Inaumiza sana na imeshatokea several times kabla sijaoa. Kuna mmoja alinifanyia vitimbi enzi hizo, mwamba nikasepa nakumbuka tulisex mara moja tuu baada ya hapo mambo yakawa siyo mambo. Kilichoniuma hapo nimetoka kumnunulia simu janja mpya, alikuwa hana smart phone. Niliwaza uhai wangu ni wa muhimu kuliko fedha. You know what? Baada ya miaka kadhaa alikuja kunitafuta mm nilishafuta namba yake sina. She was crying na kusema anajuta kwa kunipoteza. Aniliuliza kama kuna dua mbaya nimeifanya dhidi yake niseme maana anaishi kwa majuto haoni thamani ya mahusiano. Nikamwambia hakuna, ila yeye haamini. Hadi leo bado ananitafuta tuyajenge,mm nimekataa
 
POleni. Mimi kuna kitu Mungu alinijalia, na kusema kweli namshukuru Mungu. Maisha yangu yote kila nikidate na mdada alafu nikaona red flag, huwa sipambani. Nasogea zangu pembeni kiroho safi, haijalishi amekula hela zangu kiasi gani. Na nimejiapia hata kama ni mke wangu wa ndoa. Suluhu yangu ni kusepa. Period. Inaumiza sana na imeshatokea several times kabla sijaoa. Kuna mmoja alinifanyia vitimbi enzi hizo, mwamba nikasepa nakumbuka tulisex mara moja tuu baada ya hapo mambo yakawa siyo mambo. Kilichoniuma hapo nimetoka kumnunulia simu janja mpya, alikuwa hana smart phone. Niliwaza uhai wangu ni wa muhimu kuliko fedha. You know what? Baada ya miaka kadhaa alikuja kunitafuta mm nilishafuta namba yake sina. She was crying na kusema anajuta kwa kunipoteza. Aniliuliza kama kuna dua mbaya nimeifanya dhidi yake niseme maana anaishi kwa majuto haoni thamani ya mahusiano. Nikamwambia hakuna, ila yeye haamini. Hadi leo bado ananitafuta tuyajenge,mm nimekataa
I
 
daah wanawake wametofautiana kuna wawerevu na mashetani huyo dada atakuwa shetani na nafsi ya marehemu itamtesa kwakuwa amekufa na dukuduku
Sio shetani Wengi wanaingia katika mahusiano kwa sababu ya 1.Pesa 2. Umri kumuacha. Sasa huyo dada alijua kwa ngole Wenda atapata pesa ya kukizi Nahitaji Yote bahati mbaya zaidi Ukijua huyo ndio mkeo tarajali utafanya naye mambo ya msingi tu kama kununua kiwanja MILION kazaa kumpa pesa ya kula na mavazi utajikuta mfukoni unapungukiwa wakitokea WAHUNI WANAMCHAGULIA MKEO MAGAUNI MAWILI NA SHIVOLI MBILI ZA MITUMBA NA SIDILIA ANAMPA PENZI LOTE NA MUHUNI ANAMNYWEA VYAGRA MKEO ATAHISI AMEIONA PEPO KUMBE UPEPO......
tafuta pesa jijenge halafu mengine yatafuata
 
Dah miaka nane sasa toka kijana amekufa.

Duniani kuna mambo yanakanuni zake ukiziishi utaishi salama sana.
Hutakiwi kupigana eti umemfunania mpenzi wako.
Usiende nyumbani kwa mwanamke bila taarifa ikiwezekana usiende kabisa kwenye nyumba/chumba cha mwanamke kama wewe sio mtoa huduma(provider).

Hata kama unamhudumia mwanamama kiasi gani? Ukimfumania achana naye kama ukiendelea basi jimegee kisela tu tena lodge sio kwenye makazi yake.

Wanawake/ mama zetu uwezo wao wa kufikiri na kuamua mambo ni mdogo hata kama awe amesoma vipi au ana exposure kiasi gani hii ni automatic tu wameumbwa hivyo.
Sisi wanaume ndio tunapaswa kufikiri sana na kuamua vizuri kwa ajili yao, mwanamke ni kiumbe hatari sana kikiachiwa kuzagaazagaa na kuachwa kujiamulia mambo yake kwa Uhuru.
 
Mapenzi yaondoa uhai wa Francis Ngolle aliyezaliwa mwaka 1990.

Huyu kijana namfahamu sana na tumewahi kukutana nae mara tatu mara ya kwanza nilikutana nae nyumbani kwao na mara mbili nikutana nae mtaani.

Juzi nilipata habari kuwa kijana mmoja kutoka maeneo ya mtaani kwetu ameuawa huko Mwanza alipoenda kumtebelea mchumba wake huko Mwanza akitokea Dar Es Salaam lakni kwa bahati mbaya alimkuta mchumba akiwa na mwanaume mwingine chumbani, Inasemekana huyo mwanaume aliyemkuta chumbani akiwa na mchumba wake ni askari kwahiyo mapambano yalianza ambapo mwanamke alikimbia na kuacha wanaume wakipigana.

Mwanamke aliporudi alikuta Francis Ngolle tayari amepoteza maisha ,Sasa haijulikani alipewa kipigo cha aina gani mpaka kusababisha kupoteza uhai .

Lakini cha kusikitisha sana mchumba wa Francis Ngolle mimi binafsi mfahamu sana na mara nyingi tumewahi kukutana kwenye kikundi chetu cha dini cha {VIWAWA] enzi hizo kabla ya huyu dada ajaenda kikazi mwanza lakini sikujua kabisa kama wana uchumba na FRANCIS NGOLLE.

Lakini cha kusikitisha zaidi Francis Ngolle na huyu mchumba wake hapa dar Es Salaam wanaishi karibu sana siyo mbali sana kwa lugha nyingine wanaishi karibu na mimi pia .

Francis Ngolle alikuwa tayari amejitamburisha kwa wazazi wa mchumba wake kwahiyo wazazi wa pande zote mbilli walikuwa wanatambua pia.

Kinachotia simanzi zaidi wazazi Francis Ngolle na Mchumba wake hapa Dar es Salaam wanaishi karibu,wanasali kanisa moja.

Francis Ngolle bila kujua kama anaenda kupoteza maisha anafunga safari kwenda kwa mchumba wake huko mwanza lakini anakuta mchumba wake ana bwana mwingine chumbani ,Mapambano yanaanza na mwisho wa siku anapoteza maisha.

Muda huu nimetoka msibani hakika ni majonzi makubwa sana nimejaribu kuangalia maiti yake wakati nikitoa heshima za mwisho inaonekana alipigwa sana,Utafikiri ni mtu aliyepata ajali mbaya.

R.I.P Francis Ngolle

-mikononyuma-
Unaenda vipi Bilal kumtaarifu kama unaenda kwake
 
Back
Top Bottom