Uchaguzi 2020 Inauma sana, nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka

Umeandika ujinga sana
tuulize sisi tuliokuwa ndani ya vyumba vya kura
hakukuwa na uchaguzi kweli
ulikuwa uhuni tuu
ww bwabwaja kwakuwa huna ulijualo
 
CCM wameamua kukomba kila kitu.
Mliambiwa mkakataa! Kwamba ifikapo 2020, vyama vya upinzani kalasi - kufia mbali! Mkadanganywa na wahuni waliokuwa wanamfatilia Lissu kwenye mikutano yake wakipiga kelele! Na sisi tulihudhuria mikutano hiyo yote, tukisikiliza matusi tu (hatukusikia sera yoyote). Tarehe 28/10/20 tukaamua.
 
Hili siyo la upinzani ni la watanzania wote sababu faida ya demokrasia ni kwa watanzania wote sasa inatoweka na watanzania wenzetu wanatumika kuondoa mfumo wa vyama vingi na kuingiza mfumo wa chama kimoja kibabe
Aliekuambia kuwa ni wote tunaona hakuna demokrasia ni nani?

Wale wanaoona hakuna ndio waingie barabarani wala sio wote

Sent using Jamii Forums mobile app by My phone

[/url] Eti nabakia Africa. [/url]
 
Umeandika ujinga sana
tuulize sisi tuliokuwa ndani ya vyumba vya kura
hakukuwa na uchaguzi kweli
ulikuwa uhuni tuu
ww bwabwaja kwakuwa huna ulijualo
Kama ulikuwa ndani ya chumba cha kura na ukashuhudia kura zinaibiwa usichukue hatua yoyote, hukufaa kuwepo hapo. Na kama ulilipwa kwa kazi hiyo nenda katubu na kurudisha malipo hayo.
 
Kama ulikuwa ndani ya chumba cha kura na ukashuhudia kura zinaibiwa usichukue hatua yoyote, hukufaa kuwepo hapo. Na kama ulilipwa kwa kazi hiyo nenda katubu na kurudisha malipo hayo.
Ingekuwa hatua zinachukulika kirahisi hivyo wizi usingetokea
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😑😑😑

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
mkuu una roho ngumu kweli, hadi unasikiliza kabisa. sijui unatafuta nini
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😑😑😑

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Iambie roho isitoke. Itulie tuliiiiii..... Maisha yanaendelea hata baada ya uchaguzi
 
Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.

Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasia😑😑😑

Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Watanzania tumeamua kuwa hatutaki tena upinzani. Wewe umeona wapi mwakilishi wako anakwenda bungeni kulumbana tu na kuleta vimbwenga ila maendeleo hapeleki jimboni kwake? Yaani mtu anaona ujiko kukamatwa na kufungwa huku akichekelea kuandikwa mitandaoni, si uhuni huu? Wapinzani waliopita walikuwa very useless, hakuna hata mmoja aliyestahili kuwa kiongozi.
 
Umeandika ujinga sana
tuulize sisi tuliokuwa ndani ya vyumba vya kura
hakukuwa na uchaguzi kweli
ulikuwa uhuni tuu
ww bwabwaja kwakuwa huna ulijualo
Wapi u;likuwa, wewe unatudanganya tu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…