Uzur kuna maisha baada ya uchaguz hata kama huta isoma number ww shangaz yako ataisoma number mm ni ccm lakn sishangilii ujingaWenzenu ccm walipiga kampeni za shuka kwa shuka,kitanda kwa kitanda.nyie mkabaki kupiga kampeni hapa jf.ndio matunda hayo
Mwambieni Lissu awaingize barabaraniFicha upumbavu wako kidogo, sio kila sehemu pa kuonesha upuuzi.
Ni kawaida ya penicillin injection...Vumilieni dawa iingie huku mkitambua CCM bado ipo sanaaa.Roho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie [emoji24]
Lema wameshamkata mapema tuHalafu walivyo wanyama na wahuni wanaanza kutangaza yale majimbo makuu ya upinzani
yaani hapo ndo wananikata maini kabisa
sasa hivi nasubiri Arusha nayo wafanye yao
[emoji23][emoji23][emoji23] chadema huwa ni malimbukeni haijawahi tokeaIngieni barabarani jamani
Mnaogopa kufa ndiyo maana hamuingii barabarani? Hamtakufa ingieni tuRaha kwako kuona watu wakifa
Walaumu wapigakura.Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasiaπ‘π‘π‘
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Do not be sad. Kuna jambo flani lina boil. Just stay tunned. Pana solution ya huu upuuzi
Lipi hlo mkuu nijuze
Si mlisema mtaingia barabarani?...Asiyekubali kushindwa si mshindani jipangeni kwa 2025 ila Napoli sioni kutoboa labda 2100 nawaona kama mnacome come hivi.Raha kwako kuona watu wakifa
Nchi hii tuna safari ndefuRoho inaniuma kupita kiasi, nasikia maumivu makali sana kwa kinachoendelea.
Mungu baba nisaidie [emoji24]
Kuna mtu alikushauri ujipige vidole tu kama hutaki kukubali matokeo.....ulishafanya hivyo tayari?Yaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasiaπ‘π‘π‘
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
Hatuvimbi baba! Tunasema tu baba, nchi yetu sote hii tunastahili kusema pia!Hahhaha madua ya kuku hayo nyie vimbeni tu mpasuke
tutalimia menoYaani nasikiliza matokeo hapa nahisi kama roho inataka kutoka.
Chama chochote cha upinzani kupata hata kiti kimoja bungeni ni ndoto labda iwe kwa kuridhisha tu wanananchi kuwa kuna demokrasiaπ‘π‘π‘
Tuendelee tu kukamilisha ratiba.
We Ni kapumbavuuuUumwe roho kwa kipi? Uligombea?
Pole sana! Si kila mtu chadema ila tu si vema kila mtu ajue kama nati zako zimelegea.Mwambieni Lissu awaingize barabarani