Inauma sana, wezi walaaniwe. Wamenirudisha nyuma sana

Ahsante sana, yaani usipokua makini unaweza kufanya maumuzi mabaya, unahisi kukata tamaa kabisa.Unabaki unatetemeka kwa hasira. Ukifikiria maisha mapya ya kubangaiza unayokuja kuyaanza ,ukifikiria njaa itakayokuja kukupata. Ukiwa na issue ya kufanya unaona mjini kuna kazi nyingi sana uwezi lala njaa.Poteza sasa ndo utaona ugumu wa kupata hata kibarua cha kukupa hela ya kula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKUU,

HUYU ANATAKA KUITUMIA HII FURSA YA MWENZIYE KUPATA MADHILA YA KUIBIWA ILI AMUUZIE INKYUBETA YA KUTOTOLESHEA VIFARANGA!!!!

AISEE,
HII NCHI HII!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nishapiga mwizi hadi akakata moto tena alifia kituoni kuna afande mmoja mlevi alitolea macho k-vant akashindwa kuandikisha maelezo haraka hadi mwizi akafa maana alkua ashapigwa balaa tukapewa kesi ya mauji ilihali walimbeba akiwa mzima tena anaongea,tukalazwa selo kesho ndo wakatuachia....

mi hadi leo nikikumbana na mwizi lazima achezee sana vitu alivoiba nashukuru vilipatikana tv samsung flat 42,projector na mizinga ya pombe kali,nyingine walikunywa pale pale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…