ASA 1
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 234
- 568
- Thread starter
- #61
Na walaaniwe kabisaKiukweli wezi ni.wa ajabu sana wanarudishana nyuma.
Walawahi kuniibia nguo zote nyumbani kwangu nikabakiwa na nilizovaa tu.
Mimi nikikamata mwizi ni kukata mkono au kuchoma moto.
Ukiwapeleka polisi wanarudi kuleta madhara zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app