Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Habari wana JF
Unakuta umepiga usafi heavy gheto, umepika misosi ya kibabe, umejaza vitu kwenye jokofu, umetandika shuka jipya, umevaa boksa ya maangamizi, umepiga pasi nguo kwa dobi, umelipia king’amuzi full package, umenyoa vuziii umepiga kipara,.....................hivi vitu gani vingine huwa tunafanya kujiandaa na show vile
Likikuta jambo kama hili huwa unafanya nini? Utachukua maamuzi gani, utampotezea au utaendelea kumfukuzia mpaka ujenge heshima. .
Unakuta umepiga usafi heavy gheto, umepika misosi ya kibabe, umejaza vitu kwenye jokofu, umetandika shuka jipya, umevaa boksa ya maangamizi, umepiga pasi nguo kwa dobi, umelipia king’amuzi full package, umenyoa vuziii umepiga kipara,.....................hivi vitu gani vingine huwa tunafanya kujiandaa na show vile
Likikuta jambo kama hili huwa unafanya nini? Utachukua maamuzi gani, utampotezea au utaendelea kumfukuzia mpaka ujenge heshima. .