FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #21
Aisee inauma sana, hilo bwawa ilitakiwa lijazwe tangu november kwa maelezo ya Kalemani. Limekuja hilo minyuzi na para lake anatuambia eti crane la tani 26 halipo, na hasemi watajaza lini, yaani ni siri, what the f@ck??!Wana maslahi yao nyuma ya pazia sidhani kama crane la 26T ni issue.. Nna uncle wangu yupo pale MANTRUCK wana crane mpaka la 100T sasa what is 26T? Hujuma tu wanatufanyia mkuu...