fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Kinachotakiwa ni ushirikiano.Kuna MUUNGANO pia kuna kitu kingine kinaitwa USHIRIKIANO.
Hivyo ni vitu viwili tofauti ambavyo pengine baadhi yenu mmeshindwa kuvielewa ama kuvitofautisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachotakiwa ni ushirikiano.Kuna MUUNGANO pia kuna kitu kingine kinaitwa USHIRIKIANO.
Hivyo ni vitu viwili tofauti ambavyo pengine baadhi yenu mmeshindwa kuvielewa ama kuvitofautisha.
Tamaa na ubinafsi. STOPBaada ya kumuona Membe amechukua fomu ya Urais meo, nimehitimisha hakuna kuungana Kati ya Chadema na ACT licha ya vyama hivyo kupigia debe suala hili kabla hata ya mchakato wa uchaguzi
Nilitarajia Chadema kuwaachia ACT majimbo yote Zanzibar na Urais na majimbo ya ukanda wa Pwani ambako CUF ilikuwa na nguvu kabla ya kumeguka, na ACT walipe fadhila kwa kuinga mkono Chadema kwenye Urais wa Muungano
Nilimsikia Mbowe na Tundu Lissu wakitamka kuwa japo wamesimamisha wagombea nchi nzima na Zanzibar walikuwa tayari kuwaondoa baadhi ya majimbo kwa Sababu walikuwa kwenye mazungumzo na ACT,
Je, ni nini kimekwamisha Muungano huu?
Mkuu hivi ni Vituko vya mwaka,eti hawawezi toboa ,watoboe waende wapi wakati mlidai tume ya uchaguzi ni ya CCM, unaamini kabisa kwa akili za chekechea lissu mzee wa lopolopo atashinda uchaguzi huuWe tulia Membe na Zitto hawawezi toboa bila kuungana wanalijua ilo Rais ni Lissu
CHADEMA Ni matapeli Fulani halafu huwa wanaona Kila mtu mjinga.Mkuu tuongee uhalisia hivi unaachiwa vipi kitu ambacho tayari una udhibiti nacho?
CDM wanawezaje kusema wana waachia ACT majimbo ya Zanzibar wakati ukweli ni kwamba wanajua hata kama CDM wakiweka mgombea wao hatamshinda wa ACT?
Bara nako CDM wanasema watawaachia ACT mikoa ya pwani ambako tayari kila mtu anajua ACT au CCM watashinda.
Huu muungano ni wa kuifaidisha CDM tu kiuhalisia hasa hapo kwenye kuachiwa majimbo mengi bara na kuachiwa uraisi wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.
Muungano lazima uoneshe kila mtu anatoa kitu flani siyo yeye anapokea tu na kuongezewa alichonacho na mwenzie haongezewi kitu.
Niwashauri kama wana nia ya dhati ya kuungana basi waachiane hivyo walivyopanga lakini atakaepewa uraisi wa Jamhuri na kushinda basi ateue wabunge wote wa viti maalum vya raisi toka chama kingine kilichokubali kuachia uraisi, pia waziri mkuu atoke chama kilicho achia (kama katiba ina ruhusu) au wagawane nafasi baraza la mawaziri 50/50.
Hii kamari niliyo pendekeza ni kama tu kweli wanajiamini yupo wa kumshinda Magufuli miongoni mwao.
Baada ya kumuona Membe amechukua fomu ya Urais meo, nimehitimisha hakuna kuungana Kati ya Chadema na ACT licha ya vyama hivyo kupigia debe suala hili kabla hata ya mchakato wa uchaguzi
Nilitarajia Chadema kuwaachia ACT majimbo yote Zanzibar na Urais na majimbo ya ukanda wa Pwani ambako CUF ilikuwa na nguvu kabla ya kumeguka, na ACT walipe fadhila kwa kuinga mkono Chadema kwenye Urais wa Muungano
Nilimsikia Mbowe na Tundu Lissu wakitamka kuwa japo wamesimamisha wagombea nchi nzima na Zanzibar walikuwa tayari kuwaondoa baadhi ya majimbo kwa Sababu walikuwa kwenye mazungumzo na ACT,
Je, ni nini kimekwamisha Muungano huu?
Daah nimecheka sana hapo kwenye mfano wa CHAUMA, lakini ni kweli tupu usemayo.CHADEMA Ni matapeli Fulani halafu huwa wanaona Kila mtu mjinga.
Mbowe Ni mbinafsi mno.
Wanachotaka kufanya Ni saws na CHAUMA waseme wanajitoa kugombea ili Magufuli ashinde.
Ujinga mtupu.
Ninafahamu, ila kumbuka kuwa penye nia ........Ili Membe awe mgombea mwenza lazima aache uanachama ACT na kujiunga CDM. Kumbuka Juma Haji Duni wa CUF 2015, aliondoka CUF na kujiunga CDM ndipo akawa mgombea mwenza wa Mzee White hair.
Katiba haijasema mgombea mwenza kutoka Zanzibar, wametukaririsha tu! Kama vile akitoka Mkatoliki Rais anayefuata Muislamu, je hii nayo ni katiba? Hebu nitajie Makamu wote wa Rais wa Tanzania tangu UhuruKatiba hairuhusu hilo,mgombea mwenza lazima atoke Zanzibar ndio maana salum mwalimu kuchaguliwa kuwa mgombea mwenza wa Lissu
Sawa nitaisomaIsome vizuri katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ya mwaka 1977
Unaweza ukawa sahihi kwa maana yeye anategemea wizi wa kura. Nothing short of that.Sio rahis.
Magufuli atashinda urais kwa namna yoyote ile
Nyie angaikeni tu
Wewe siijui umetoka nchi gani hata hujui mgombea mwenza anapatikanaje...!!!Hawa jamaa walipaswa kumuweka Membe kama mgombea Mwenza na Lissu Rais....Kampeni zisingeshikika
Ccm tukiiba kura mtatufanya nini, mtalia kama kawaida au mtamwaga ugali ?Unaweza ukawa sahihi kwa maana yeye anategemea wizi wa kura. Nothing short of that.
Kwa hiyo kwa jinsi ulivyoandika ni kama vile vyama vingine ndo vevyee nakosa ila CDM wao ni mungu watu wao hawakukosea .madhifu ni ya vyama vingine tu ya ACT ,NCCR na CUFACT kama NCCR wanataka waachiwe majimbo wayauze kwa ccm, lakini wanataka CHADEMA ikishinda wagawane ruzuku kwasababu eti iliwaachia majimbo.
Kwa msingi huo, Kila chama kipambane kivyake, ili kila mmoja avune alichopanda.
Waungane ili iweje?!
Malalamiko yao ilikuwa kwamba, wakati wa UKAWA Chadema iliwatumia, sasa unadhani hiyo dhana itawaisha?!
Waliionea wivu CHADEMA na kuanza kuihujumu kwa kupeleka uongo huko ccm ,kwasasa kila mtu aende kivyake.
Ukipigwa, ujue ulipigwa kihalali, na ukishinda tembea kifua mbele.
ACT ikishinda Zanzibar haita share madaraka na yeyote, kila mmoja aweke nguvu anapoona anakubalika. Hakuna haja ya kuungana kisha muanze kuoneana wivu na kuanza kusalitiana.
Akishinda sawa, na ukishindwa usilaumu muungano wala nini ukae mbali.
CCM hawataki kuungana na chama chochote, kwanini nyie muungane?!
Walipaswa waungane 5 yeas kabla ya uchaguzi, lakini sio wiki moja kabla ya uchaguzi, hii itawaletea shida.
Kila chama kipige push up zake. Kikapambane kivyake, wengi wanafiki.
Hasa Mbatia na Zitto ni wanafiki sana.
Mbatia anajiona bonge la mwanasiasa, na alijiona kaibeba CHADEMA alipokuwa UKAWA.
Zitto hakutaka UKAWA akiamini angeweza bila UKAWA, leo muungano wa nini?
Lipumba wote mnafahamu alivyo msaliti na kaishiwa hana cha kuchangia kwenye muungano, hivyo aachwe, hata asijadiliwe.
Kama unafahamu walichokosea Chadema wakiwa UKAWA andika hapa, hili jukwaa huru.Kwa hiyo kwa jinsi ulivyoandika ni kama vile vyama vingine ndo vevyee nakosa ila CDM wao ni mungu watu wao hawakukosea .madhifu ni ya vyama vingine tu ya ACT ,NCCR na CUF
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Wote wanachukua formBaada ya kumuona Membe amechukua fomu ya Urais leo, nimehitimisha hakuna kuungana Kati ya Chadema na ACT licha ya vyama hivyo kupigia debe suala hili kabla hata ya mchakato wa uchaguzi
Nilitarajia Chadema kuwaachia ACT majimbo yote Zanzibar na Urais na majimbo ya ukanda wa Pwani ambako CUF ilikuwa na nguvu kabla ya kumeguka, na ACT walipe fadhila kwa kuinga mkono CHADEMA kwenye Urais wa Muungano
Nilimsikia Mbowe na Tundu Lissu wakitamka kuwa japo wamesimamisha wagombea nchi nzima na Zanzibar walikuwa tayari kuwaondoa baadhi ya majimbo kwa Sababu walikuwa kwenye mazungumzo na ACT,
Je, ni nini kimekwamisha Muungano huu?
Wewe li CCM yetu upinzani hayakusuMkuu tuongee uhalisia hivi unaachiwa vipi kitu ambacho tayari una udhibiti nacho?
CDM wanawezaje kusema wana waachia ACT majimbo ya Zanzibar wakati ukweli ni kwamba wanajua hata kama CDM wakiweka mgombea wao hatamshinda wa ACT?
Bara nako CHADEMA wanasema watawaachia ACT mikoa ya pwani ambako tayari kila mtu anajua ACT au CCM watashinda.
Huu muungano ni wa kuifaidisha CDM tu kiuhalisia hasa hapo kwenye kuachiwa majimbo mengi bara na kuachiwa uraisi wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania.
Muungano lazima uoneshe kila mtu anatoa kitu flani siyo yeye anapokea tu na kuongezewa alichonacho na mwenzie haongezewi kitu.
Niwashauri kama wana nia ya dhati ya kuungana basi waachiane hivyo walivyopanga lakini atakaepewa uraisi wa Jamhuri na kushinda basi ateue wabunge wote wa viti maalum vya raisi toka chama kingine kilichokubali kuachia uraisi, pia waziri mkuu atoke chama kilicho achia (kama katiba ina ruhusu) au wagawane nafasi baraza la mawaziri 50/50.
Hii kamari niliyo pendekeza ni kama tu kweli wanajiamini yupo wa kumshinda Magufuli miongoni mwao.