Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 12,823
- 21,210
Unateseka kwani?Wewe li CCM yetu upinzani hayakusu
Basi sawa hayanihusu, nenda kalale sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unateseka kwani?Wewe li CCM yetu upinzani hayakusu
CCM ni wazee wa figisu.Wote wanachukua form
Baada ya kupitishwa na NEC ndio Ushirikiano unaanza
Unataka wasichukue form achukue mmoja halafu NECCM ifanye uhuni wa Kumuengua
Wanamuweka mtu aliyerejesha fomu na picha na fomu zenyewe ziwe zimejazwa vizuri bila hivo unatupiliwa mbali.Membe keshachukua fomu, NEC watamuweka kwenye karatasi ya kura
Ni kichaka cha CCM kileMembe hana mvuto kabisa!!
Akili yako haina tofauti na ya Dr ShikaCHADEMA Ni matapeli Fulani halafu huwa wanaona Kila mtu mjinga.
Mbowe Ni mbinafsi mno.
Wanachotaka kufanya Ni saws na CHAUMA waseme wanajitoa kugombea ili Magufuli ashinde.
Ujinga mtupu.
Yako Kama ya kisusio kilichochachaAkili yako haina tofauti na ya Dr Shika
Acha ubishi usiokuwa na maana,kikatiba unacho shauri haliwezekani,achana na mambo ya rais akiwa muislam anaefuta ni mkristoKatiba haijasema mgombea mwenza kutoka Zanzibar, wametukaririsha tu! Kama vile akitoka Mkatoliki Rais anayefuata Muislamu, je hii nayo ni katiba? Hebu nitajie Makamu wote wa Rais wa Tanzania tangu Uhuru