Uchaguzi 2020 Inavyoonesha CHADEMA na ACT-Wazalendo hawataungana. Nini kimekwamisha?

Tamaa na ubinafsi. STOP
 
Wamekubaliana kwamba wote waingie kwenye kampeni alafu watapima upepo wiki mbili kabla mmoja atajitoa.
 
Wanasiasa wanafikia makubaliano pale wanapoona watanufaika vinginevyo...
 
We tulia Membe na Zitto hawawezi toboa bila kuungana wanalijua ilo Rais ni Lissu
Mkuu hivi ni Vituko vya mwaka,eti hawawezi toboa ,watoboe waende wapi wakati mlidai tume ya uchaguzi ni ya CCM, unaamini kabisa kwa akili za chekechea lissu mzee wa lopolopo atashinda uchaguzi huu
 
CHADEMA Ni matapeli Fulani halafu huwa wanaona Kila mtu mjinga.

Mbowe Ni mbinafsi mno.

Wanachotaka kufanya Ni saws na CHAUMA waseme wanajitoa kugombea ili Magufuli ashinde.

Ujinga mtupu.
 

Bado, usihitimishe....

Uchaguzi wa mwaka huu ni so trickery...

Unapaswa kufikiri 1000 miles mbele ya NEC - CCM na wote wanaotaka Jiwe awe peke yake....

Tutasema imeshindikana iwapo Tundu Lissu atachukua fomu na kuirudisha NEC na Membe akafanya hivyo hivyo....

Kwa hatua hii, unaweza kuchukua fomu NEC na usiirudishe na mambo yakawa hivyo...
 
CHADEMA Ni matapeli Fulani halafu huwa wanaona Kila mtu mjinga.

Mbowe Ni mbinafsi mno.

Wanachotaka kufanya Ni saws na CHAUMA waseme wanajitoa kugombea ili Magufuli ashinde.

Ujinga mtupu.
Daah nimecheka sana hapo kwenye mfano wa CHAUMA, lakini ni kweli tupu usemayo.
 
Ili Membe awe mgombea mwenza lazima aache uanachama ACT na kujiunga CDM. Kumbuka Juma Haji Duni wa CUF 2015, aliondoka CUF na kujiunga CDM ndipo akawa mgombea mwenza wa Mzee White hair.
Ninafahamu, ila kumbuka kuwa penye nia ........
 
Katiba hairuhusu hilo,mgombea mwenza lazima atoke Zanzibar ndio maana salum mwalimu kuchaguliwa kuwa mgombea mwenza wa Lissu
Katiba haijasema mgombea mwenza kutoka Zanzibar, wametukaririsha tu! Kama vile akitoka Mkatoliki Rais anayefuata Muislamu, je hii nayo ni katiba? Hebu nitajie Makamu wote wa Rais wa Tanzania tangu Uhuru
 
Nachohisi mimi ni
1. Membe kachukua fomu kama back up ya figisu za Lissu kama atafanyiwa.
2. Ni poteza maboa tu wasimsumbue Lissu ila fomu yake hatairejesha hivyo jina lake halitatoka kwenye makaratasi ya wagombea na kumpa fursa ya mkumsaidia Lissu kubaki kupambana na John
 
Kwa hiyo kwa jinsi ulivyoandika ni kama vile vyama vingine ndo vevyee nakosa ila CDM wao ni mungu watu wao hawakukosea .madhifu ni ya vyama vingine tu ya ACT ,NCCR na CUF

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo kwa jinsi ulivyoandika ni kama vile vyama vingine ndo vevyee nakosa ila CDM wao ni mungu watu wao hawakukosea .madhifu ni ya vyama vingine tu ya ACT ,NCCR na CUF

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Kama unafahamu walichokosea Chadema wakiwa UKAWA andika hapa, hili jukwaa huru.

Hakuna nilipomtaja Mungu wala kusema Chadema ni miungu, wewe toa maoni yako kwa hoja iliyopo jukwaani.
 
Tulieni kwanza dawa iwaingie yaani mnataka mmoja asichukuwe fomu ili atakaye chukuwa mumuwekee pingamizi!? Hapo najuwa mmepingwa chenga ya mwili dadadeki watu wamejipanga mzee picha ndokwanza linaanza kesho
 
Wote wanachukua form
Baada ya kupitishwa na NEC ndio Ushirikiano unaanza
Unataka wasichukue form achukue mmoja halafu NECCM ifanye uhuni wa Kumuengua
 
Wewe li CCM yetu upinzani hayakusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…