Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unauhakika? Are you serious? 900 million madafu tu. Ukizingatia infleshen sasa hivi. That's too little.900Milioni
Labda kama unajengea matope na miti900Milioni
Mkuu si unaangalia tu na kukadiria. Mwamba hapo juu anadai 900 million. Kama ni kweli nina uwezo wa kujenga kama hizo 20.Weka ramani maana hapo hatujui ukubwa wake, ki idadi ya vyumba
Ukisimamia mwenyewe kuanzia kununua vifaa,chenchi inabakiMkuu unauhakika? Are you serious? 900 million madafu tu. Ukizingatia infleshen sasa hivi. That's too little.
Labda kujenga kiswahili kiswahili
Nani kakupa ruhusa ya kupiga picha jengo langu?Mzuka wanajamvi.
Naomba kuuliza ghorofa kama hili kujenga hadi kulimaliza linagharimu shilingi ngapi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
View attachment 2840724
Cc mrangi Sky Eclat @pdiddy Mr Q Mzee Kigogo
Ukiwa unatafakari hebu tumbukiza 5mil kwenye account yangu boss itakuja kukusaidia kununua vitasa ukiwa wamalizia maliziaMkuu si unaangalia tu na kukadiria. Mwamba hapo juu anadai 900 million. Kama ni kweli nina uwezo wa kujenga kama hizo 20.
Inabidi nikutafute mwakani mkuu. Kuna hela flani hivi ndefu balaa ninaweza kupata uwezekano mkubwa wa kupata hupo nataka kuinvest kwenye real estate itll be massive investment na kutoa ajira.Ukisimamia mwenyewe kuanzia kununua vifaa,chenchi inabaki
Humu jamvin mna vituko sana hahahNani kakupa ruhusa ya kupiga picha jengo langu?
Oya hii ni chai! 900m na chenji ibaki?Ukisimamia mwenyewe kuanzia kununua vifaa,chenchi inabaki
La kupangisha nila shakaMzuka wanajamvi.
Naomba kuuliza ghorofa kama hili kujenga hadi kulimaliza linagharimu shilingi ngapi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
View attachment 2840724
Cc mrangi Sky Eclat @pdiddy Mr Q Mzee Kigogo
Mkuu na uliza sitaki kukurupuka hela ninayotarajia ikitulia kimiani. Niko kwenye harakati ya kufanya tafiti za real estate. Kila mawazo na data napokea na changanua. Hadi natafiti kwenye visiwa vya st kits and navis, Aruba na Antigua na Barbuda.Unauliza au unamuulizia mtu?
Siku hizi anaosha na masahani pia.Ela za kuosha sufuria zimetosha kujenga ghorofa?
Hahaha. Huko huko kwenye kuosha masufuria na kusafisha mikundu ya wazee unakutana vibibi matajiri kichizi wanakupenda na wanakutoa. Tatizo vinamasharti kichizi lazima usafiri nao wajue kwenu.Ela za kuosha sufuria zimetosha kujenga ghorofa?