The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Hata wewe umekua brainwashed na Zionist? The problem ni Zionist occupation on Palestinian land.Asee likija swala humanity ordinary Gaza residents needs urgent help. The problem is HAMAS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe umekua brainwashed na Zionist? The problem ni Zionist occupation on Palestinian land.Asee likija swala humanity ordinary Gaza residents needs urgent help. The problem is HAMAS.
Haiwezekani. Hamna kitu kama hicho.Gorofa tano million mia tano
Karibu, ukipata mchoro wa floor plan unipe nikukokotolee gharamaGT am overwhelmed with gratitude for your comment. Thanks so much.
Nitafanya hivyo mkuuKaribu, ukipata mchoro wa floor plan unipe nikukokotolee gharama
aah aah ghorofa haijengwi Kwa pesa ya kusikilizia....Inabidi nikutafute mwakani mkuu. Kuna hela flani hivi ndefu balaa ninaweza kupata uwezekano mkubwa wa kupata hupo nataka kuinvest kwenye real estate itll be massive investment na kutoa ajira.
Mkuu kumbe bajeti unaijua, sema wewe sasa.Mkuu unauhakika? Are you serious? 900 million madafu tu. Ukizingatia infleshen sasa hivi. That's too little.
Labda kujenga kiswahili kiswahili
Mkaldayo nasubiri crypto izidi kuchanganya. Kuna coin nilinunuaga 2021 ilikuwa 0.00000000046 nilinunua na 5000 usd trillion of cryptos sasa imeshakata zero mbili sasa hivi ni 0.000000069. yani udollar millionaire nauona kwa macho hivihivi.Myebusi tatizo wengi watakaokujibu hapa hawajawahi hata kujenga banda la Kuku, kwa hiyo expect kuingizwa chaka.
Msipende kuwatisha watu kwa gharama za kuongea vijiweni.Bilioni 3 hivi kwenda juu
Ni gharama sana kujenga Ghorofa
Ramani tu na vibali inaweza kukutoka milioni 10
Siyo bajet naijuwa mkuu. Nikiangaliaga kupatana na befoward realesate website viapartment room mbili tu 250 k usd ije iwe hiyo ghorofa niliyoaweka picha?Mkuu kumbe bajeti unaijua, sema wewe sasa.
Hahaha crypto imedoda sana but niliwahi kupiga 8,000$ wakati niliweka 200$.Mkaldayo nasubiri crypto izidi kuchanganya. Kuna coin nilinunuaga 2021 ilikuwa 0.00000000046 nilinunua na 5000 usd trillion of cryptos sasa imeshakata zero mbili sasa hivi ni 0.000000069. yani udollar millionaire nauona kwa macho hivihivi.
Ntafanya massive investments ya hatarii wee subiri. Ikikata zero zingine 2 God forbid
Mkuu ndio imedoda ila kwenye hii coin hata nikiamua kutoa sasa hivi hivi vijumba uchwara vya chanika na chamazi naweza kuvinunua kwa mafungu.Hahaha crypto imedoda sana but niliwahi kupiga 8,000$ wakati niliweka 200$.
Waliosubiria hadi leo hawajauza😂
Bro shida wanunuziMkuu ndio imedoda ila kwenye hii coin hata nikiamua kutoa sasa hivi hivi vijumba uchwara vya chanika na chamazi naweza kuvinunua kwa mafungu.
Ikikata zero zingine 2 Denmark nitakuwa nakuja nakuondoka
Ukijenga ki Copenhagen hata 900mil haitoshi. Ila ki bongo bongo labda 500mil hiviMzuka wanajamvi.
Naomba kuuliza ghorofa kama hili kujenga hadi kulimaliza linagharimu shilingi ngapi?
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
View attachment 2840724
Cc mrangi Sky Eclat Pdidy dy Mr Q Mzee Kigogo
900 millions inajenga hilo Ghorofa Mkuu!Siyo bajet naijuwa mkuu. Nikiangaliaga kupatana na befoward realesate website viapartment room mbili tu 250 k usd ije iwe hiyo ghorofa niliyoaweka picha?
Mkuu kuna hela ndefu hiko njiani
wewe mchizi kweli mibangii