Nasemajeeee!? Hii Bull run lazima watuite Freemason au Drug dealersMkaldayo nasubiri crypto izidi kuchanganya. Kuna coin nilinunuaga 2021 ilikuwa 0.00000000046 nilinunua na 5000 usd trillion of cryptos sasa imeshakata zero mbili sasa hivi ni 0.000000069. yani udollar millionaire nauona kwa macho hivihivi.
Ntafanya massive investments ya hatarii wee subiri. Ikikata zero zingine 2 God forbid
Mkuu haki ya nani natoka. Mungu yupo wee piga tu hesabu hizo zero 2 kukakata.Nasemajeeee!? Hii Bull run lazima watuite Freemason au Drug delaers
All the best MkuuMkuu haki ya nani natoka. Mungu yupo wee piga tu hesabu hizo zero 2 kukakata.
Asante mkuu. Ila naomba kuuliza binance inaweza kufa baada ya boss wake kulazimishwa kujiuzulu. Tusije tukapote financial fortune kizembe hivihivi kama FTX ya SBFAll the best Mkuu
Hapana, na wachampa kazi CEO mpya. Binance inachukiwa tu ila haiwezi kufa kama FTX. Binance itakufa kwa kupigwa Ban maana inaonekana kuingilia sana financial institutions za nchi mbalimbali kutokana na huduma zake rafiki za kifedha. Mfano saivi ni rahisi kutuma pesa zaidi ya mara 50 kwa kutumia binance kuliko hayo sijui ma western union yao, saivi binance tunanunua hadi local airtime za simu, sasa mambo kama haya yanakuwa tishio kwa taasisi za kinyonyaji zinazopata back up ya serikali.Asante mkuu. Ila naomba kuuliza binance inaweza kufa baada ya boss wake kulazimishwa kujiuzulu. Tusije tukapote financial fortune kizembe hivihivi kama FTX ya SBF
Asante sana mkaldayo kwa haya maelezo. Nimejifunza mambo mageni.Hapana, na wachampa kazi CEO mpya. Binance inachukiwa tu ila haiwezi kufa kama FTX. Binance itakufa kwa kupigwa Ban maana inaonekana kuingilia sana financial institutions za nchi mbalimbali kutokana na huduma zake rafiki za kifedha. Mfano saivi ni rahisi kutuma pesa zaidi ya mara 50 kwa kutumia binance kuliko hayo sijui ma western union yao, saivi binance tunanunua hadi local airtime za simu, sasa mambo kama haya yanakuwa tishio kwa taasisi za kinyonyaji zinazopata back up ya serikali.
Karibu sana Kamanda.Asante sana mkaldayo kwa haya maelezo. Nimejifunza mambo mageni.
Mkuu si unaangalia tu na kukadiria. Mwamba hapo juu anadai 900 million. Kama ni kweli nina uwezo wa kujenga kama hizo 20.