Inaweza kukugharimu pesa nyingi Hadi uhai kwa kujifanya unapesa.

Inaweza kukugharimu pesa nyingi Hadi uhai kwa kujifanya unapesa.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Nilichogundua kukaa kimya ndo akili za kitajiri maana huwezi muomba pesa au kumdhuru kirahisi mtu ambaye huna background yake ya kipato Kama anacho au Hana

Sisi masikini %kubwa tunapenda kujionesha tuna pesa na mwisho wa siku inatugharimu pesa nyingi Hadi uhai

Nimefatilia visa vingi vya mauaji huko vijijini na mijini chanzo ni wivu tu hasa walimu wanauana kwa vitu vidogo Sana ambavyo ni wivu tu wa Maisha .



Naona ni Bora kukaa kimya Mtu aendelee kukuhisi kuwa wewe ni Jambazi au usalama wa Taifa kuliko kukuletea mauji baada kujua unamzidi
Elimu
Pesa
Mafanikio , na una mke mcha Mungu na watoto wazuri wanaosoma Feza
 
Na unamke mcha Mungu na watoto wazuri wanaosoma feza, mwisho wa kunukuu
 
Nilichogundua kukaa kimya ndo akili za kitajiri maana huwezi muomba pesa au kumdhuru kirahisi mtu ambaye huna background yake ya kipato Kama anacho au Hana

Sisi masikini %kubwa tunapenda kujionesha tuna pesa na mwisho wa siku inatugharimu pesa nyingi Hadi uhai

Nimefatilia visa vingi vya mauaji huko vijijini na mijini chanzo ni wivu tu hasa walimu wanauana kwa vitu vidogo Sana ambavyo ni wivu tu wa Maisha .



Naona ni Bora kukaa kimya Mtu aendelee kukuhisi kuwa wewe ni Jambazi au usalama wa Taifa kuliko kukuletea mauji baada kujua unamzidi
Elimu
Pesa
Mafanikio , na una mke mcha Mungu na watoto wazuri wanaosoma Feza
🤣🤣🤣🤣. Daaah yua rait bro yua rait zis is tru
 
Back
Top Bottom