Inawezekana CHADEMA hawajui wanachokitaka

Inawezekana CHADEMA hawajui wanachokitaka

Ujinga n nn ni pale wana ccm wanapojadiliana chadema imekufa, haina ushawish tena wala mvuto yan wanaijadili kwa maskitiko kwmb why inakufa, ajabu wao ccm wanatoa mpk na ushauri eti nn chadema wafanye.

Mi huwa nikiona uchafu kama huu wa mwandishi kilaza huyu na huyu mleta thread huwa natoka nje naangalia uelekeo wa jua ksha natikisa kchwa na kupgapga kifua kwa nguvu sn na kutamka chadema mshikilie hapohapo msiachie.
 
Ujinga n nn ni pale wana ccm wanapojadiliana chadema imekufa, haina ushawish tena wala mvuto yan wanaijadili kwa maskitiko kwmb why inakufa...
Ujinga ni kujitoa kushirki kutoa maoni alafu ripoti ikifika unakuwa wa kwanza kutoa maoni juu ya maoni waliyotoa wengine, kwa neno moja huo unaitwa upuuzi
 
Ujinga ni kujitoa kushirki kutoa maoni alafu ripoti ikifika unakuwa wa kwanza kutoa maoni juu ya maoni waliyotoa wengine, kwa neno moja huo unaitwa upuuzi
Kushiriki kutoa maoni ya kuvunja katiba kwa kulazimisha kutengeneza kanuni kinyume na katiba inayoruhusu mikutano ya vyama vya siasa.

Dhamira kubwa ni kutafuta jinsi ya kuidhibiti CDM, Wajinga lazima muumie chama makini hakiwezi kushiriki bali vyama vyenu vya mkakati, walichofanya CDM ni jukumu lao la kikatiba kuulizia gharama za pesa za walipa KODI zinazotumiwa kwa nia ovu ya kudhibiti ushiriki wa siasa
 
Ujinga ni kujitoa kushirki kutoa maoni alafu ripoti ikifika unakuwa wa kwanza kutoa maoni juu ya maoni waliyotoa wengine, kwa neno moja huo unaitwa upuuzi
Kwmb chadema wamekuwa wa kwanza kutoa maoni juu ya kile kikund cha ccm kiitwacho kikosi kazi? Hivi afya ya akili yako iko vema kweli aisee, unataka kutuaminisha yale mambo yaliyoletwa na kikosi kaz serikali inayongozwa na majiz ya taifa hli ccm wakiamua kuyafanyia kaz yataathiri taifa zima au hayataathiri?

Kwan yale mambo waliyosema ni kwaajili kujenga chama chao au? Ulitaka chadema wanyamaze wkt kuna mambo yamesemwa na hangaya wakiyanyamazia yanakwenda kuathiri utendaji kaz wa chadema na taifa kwa ujumla acha upumbavu we kilaza taifa hli si mali ya ccm na familia zao kwmb kila wanalopanga watu wawanyamazie tu. Kuku wewe
 
Nakubaliana na andiko, chadema ni hakuna wanachojua.

Ilaa mwandishi namsahihisha, kikosi kazi hakipo juu ya katiba. Kusema wana mapendekezo mazuri ikiwemo matokeo ya uraisi kupingwa mahakamani ni ujinga, kwa kuwa katiba hairuhusu.
 
Chadema siyo level ya kuchezea, huyo takataka aliyeandika anajua sana. CCM watahangaika sana lkn ukweli upo pale pale
 
Nakubaliana na andiko, chadema ni hakuna wanachojua.

Ilaa mwandishi namsahihisha, kikosi kazi hakipo juu ya katiba. Kusema wana mapendekezo mazuri ikiwemo matokeo ya uraisi kupingwa mahakamani ni ujinga, kwa kuwa katiba hairuhusu.
Na wewe unaona una kitu unachokijua zaidi ya chadema? Mirembe kuna wazima wagonjwa tuko nao jf
 
Hoja zenu za kichawi zimeisha?
Tatizo la CDM mtu yoyote atakae kua na mawazo tofauti na nyie aidha awe ndani ya Chama au nje ya Chama kitu cha kwanza mnamuita Lumumba.

Ingekua ni Cult au kikundi cha dini tungewaelewa ila kam ni Chama cha kidemokrasia lazima mawazo yapishane. Hoja hazijaisha ila haina maana kujadili hoja ambazo hazipata muafaka.
 
Anaweza akawa mwandishi mkongwe
Kwani Tanzania tuna mwandishi wa habari? Kila mmoja anaweza akaandika. Ni sawa na yule kijna wa ITV alikuwa anecheza na waoto wa chekechea, leo eti ni mtangazaji/mwandishi...nadhani unamjua
 
Tatizo la CDM mtu yoyote atakae kua na mawazo tofauti na nyie aidha awe ndani ya Chama au nje ya Chama kitu cha kwanza mnamuita Lumumba.

Ingekua ni Cult au kikundi cha dini tungewaelewa ila kam ni Chama cha kidemokrasia lazima mawazo yapishane. Hoja hazijaisha ila haina maana kujadili hoja ambazo hazipata muafaka.
Utakupingwa kwa nguvu zote kama unasema 1+1=1 katika normal/natural mathematics. sasa Chadema haiwezi kukubali ujinga kama huo katika politics za Tanzania. Watakao kubali ni hao vyama 14/15(maana hata idadi haijulikani) na ACT, not Chadema. Nitakupa mifano.
 
Utakupingwa kwa nguvu zote kama unasema 1+1=1 katika normal/natural mathematics. sasa Chadema haiwezi kukubali ujinga kama huo katika politics za Tanzania. Watakao kubali ni hao vyama 14/15(maana hata idadi haijulikani) na ACT, not Chadema. Nitakupa mifano.......
Nakuelewa katika hilo but unfortunately ukianza kuuliza kitu tofauti na msimamo wa CDM hasahasa vijana immediately unakua labeled ni Lumumba.
 
Nakuelewa katika hilo but unfortunately ukianza kuuliza kitu tofauti na msimamo wa CDM hasahasa vijana immediately unakua labeled ni Lumumba.
Utakuwa labeled kama Lumumba ukikubali kwa mfano kuwa bunge la sasa ambalo 99.999% ni CCM (walioingia kwa kuteuliwa na magufuli) lisimamie kupiga kura na kujadili rasimu ya Mkandara. Msikilize Mnyika katika press conference yake, mwenye akili na utashi wa demokrasi ataungana naye!
 
Back
Top Bottom