Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Uzi ufungweUsipotumia kinga kuwa tayari kwa lolote. Mimba, magonjwa ya zinaa, hepatitis B na mbaya zaidi Ngoma.
Mpeleke kwa Mwamposa, huenda amerogwaWanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimedate nae mwezi wa kwanza nilimkojolea haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Kwenye hayo magojwa mengine ayupo ishu ipo kwenye mimba ntajuaje kama kweli ni yangu nisije nikafanywa kama yule mwamba alie lea ujauzito ambao sio wake mwisho wa siku mwamba akajiuwaUsipotumia kinga kuwa tayari kwa lolote. Mimba, magonjwa ya zinaa, hepatitis B na mbaya zaidi Ngoma.
Kwahiyo unataka kutuelezea kuwa wewe unatembelea rim...Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimedate nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Lethergotayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Ulipomkojolea 'ndani' ulidhani mbegu hazileti mimba?Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimedate nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Hizo nyege ulizotoa zilikuwa mfu?Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimedate nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Kuna watu wanadhani mpk uishi na mwanamke mfanye miezi 6 ndo iingie😅 kuna watu wana akili za ajabu sanaKwa uelewa wako unadhani mpaka ufanye mara ngapi ndio mimba iingie?
Kwa hili hata mimi amenishangaza!Ku date ndio kufanya mapenzi kumbe?
Kwa sasa kwanza hakiki kwa vipimo ku-confirm mimba kama ipo kweli (UPT), but hakuna njia ya kujua kama hiyo mimba ni yako au la, subiri akizaliwa mtoto mtapima vinasaba (DNA paternity test)Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimedate nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Naomba tuka date madam😂Ku date ndio kufanya mapenzi kumbe?