Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejuaje?🤣Hiyo mimba ni yako [emoji817]. Hongera baba kija.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwamba manii zikimwagwa 'ndani' zinakusanyika sehemu zikisubiri miezi sita ndo ziende kurutubisha..!!Kuna watu wanadhani mpk uishi na mwanamke mfanye miezi 6 ndo iingie😅 kuna watu wana akili za ajabu sana
Zimwagwe tena ziwe nyingi😅😅Kwamba manii zikimwagwa 'ndani' zinakusanyika sehemu zikisubiri miezi sita ndo ziende kurutubisha..!!
Umewaza kam mm😅😅 nlikua cjuy kam kudate nd kufanya mapenz😅😅🙌Ku date ndio kufanya mapenzi kumbe?
Mie Dr wa masuala ya uzazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umejuaje?[emoji1787]
Na ni urofa fulani hivi.Bila DNA test. Ishi na 50/50 lolote linawezekana.
Kugharamikia mwanamke mwenye mimba kunakuaga kama kubeti
Umepima through osmosis au?🤣Mie Dr wa masuala ya uzazi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimba haihitaji ohh mlikutana mara ngapi cha msingi mdada awe kwenye siku zake,bao moja ya kwanza inatosha hatakama huna nguvu za kiume,kwahiyo pokea majukumuWanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimedate nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
siku mnaenda kutana mbona hujaleta uzi hapa tukushauriKwenye hayo magojwa mengine ayupo ishu ipo kwenye mimba ntajuaje kama kweli ni yangu nisije nikafanywa kama yule mwamba alie lea ujauzito ambao sio wake mwisho wa siku mwamba akajiuwa
Osmosfia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umepima through osmosis au?[emoji1787]
Subiri mtoto azaliwe na usihudumie mimba
Kumfuatilia mwanaume mwenzio that’s Homo broHuyu ndo MduduAli ambaye siyo mzinifu;
1. Ana matusi View attachment 3257303
2. Ana matusi makuu View attachment 3257304
3. Anapiga nyetoView attachment 3257307
4. Mpiga nyeto mwandamizi
View attachment 3257312
5. Ndo huyu hapa mtakatifu MduduAli
View attachment 3257316
So mnanishauri nini wakuuKuna dalili kama umeuziwa barafu jangwani au dalali kakwambia nyumba za ubungo mpaka kimara maji ya DAWASCO ni uhakika.
Hapo nimekuelewa mkuuSubiri mtoto azaliwe na usihudumie mimba hata sumni