Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Hahahahaha tukutane wapi tu date zetu😂Naomba tuka date madam😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha tukutane wapi tu date zetu😂Naomba tuka date madam😂
Ninachojua kuona damu wakati wa ujauzito ni ishara ya hatari, aende hospitali haraka.Nilikuwa nakaza but kilichonifanya namimi kuacha kutumia ni sababu ya ndom kupasuka kati kati ya tendo kila wakati by the way hv ukishapata ujauzito inawezekana tena kuingia kwenye siku zako baada ya wiki kadhaa mbele??
Humu tunakuja kurefresh tu kakaUKIJIFANYA MTAKATIFU, WATU WANAWEKA HADHARANI UOZO WAKO. RUGE ALIWAHI KUSEMA, HAPA DUNIANI, OGOPA MUNGU NA TEKNOLOJIA
Ahahahaha ..!! hapo sawa, ila refresh vinavyoakisi ukweli kaka mtakatifu..!!Humu tunakuja kurefresh tu kaka
Pale pale kwa jana😊Hahahahaha tukutane wapi tu date zetu😂
Hudumia mkuu, achana na shauri za tofauti na hapo, akizaliwa ndio mkafanye DNA(kama utawiwa kufanya hivi) akiwa wako fresh asipokuwa wako fresh, ndio uwanaume huo (kama huna uwezo wa kuhudumia labda ila kama upo hudumia tu, pesa zenyewe za kuhudumia mimba shilling ngapi bhana?)Hapo nimekuelewa mkuu
Si bora wewe hujatumia kinga, mimi nilituma kinga imara, na hazikuharibika, naletewa mimba. ila kwa inavyoonyesha kwa mujibu wa maelezo yako, hiyo mimba ni yako, usikimbie majukumu.Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Mguu changa na mguu neti ndo nini?Ni yako, ulipo mguu changa na mguu neti hukutambua hilo...
Mguu chaga na mguu neti ni "kuzini"Mguu changa na mguu neti ndo nini?
Kama umebeba wewe hiyo mimba ni yako. Kama hujabeba wewe mwache mwenye nayo atakujulisha. Muwe mnaangalia siku zenu mkiwa period.Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
Sawa tuwe tuna date mara kwa mara.Pale pale kwa jana😊
Hiyo ya kimila ndio naitaka mimiHudumia mkuu, achana na shauri za tofauti na hapo, akizaliwa ndio mkafanye DNA(kama utawiwa kufanya hivi) akiwa wako fresh asipokuwa wako fresh, ndio uwanaume huo (kama huna uwezo wa kuhudumia labda ila kama upo hudumia tu, pesa zenyewe za kuhudumia mimba shilling ngapi bhana?)
ViDNA venyewe vya kisasa havina hata madhara, akiamua kukuzunguka mtoto atakua wako hata baada ya vipimo, DNA nzuri ni ile ya kimila(haijawahi kula rushwa hiyo😅😅😅)
Sijakataa mkuu nimeuliza tuNi yako, ulipo mguu changa na mguu neti hukutambua hilo...
Wanangu hivi mdada ambae unadate nae japo sio mara nyingi na wala amuishi pamoja akikwambia ana ujauzito wako huwa mnachukua hatua gani.
NOTE: huyu mdada mara ya mwisho nimesex nae mwezi wa kwanza sikutumia kinga haswa haswa jana kanitumia vipimo kwa njia ya watsapp anasema tayari ana ujauzito wangu wa mwezi mmoja ila pia sijaamini kama kweli huo ujauzito ni wangu maana atuishi pamoja so vp hapa nichukue hatua gani kwa wajuzi wa haya mambo kingine mimi sikatai ujauzito but sipendi kulea mimba isiyo yangu
😁😁😁😁 wala sina mpango wa kukimbia majukumu mkuuSi bora wewe hujatumia kinga, mimi nilituma kinga imara, na hazikuharibika, naletewa mimba. ila kwa inavyoonyesha kwa mujibu wa maelezo yako, hiyo mimba ni yako, usikimbie majukumu.